Viongozi wetu hawaaminiki
Tt UNAPOWASIKILIZA viongozi wetu unababaishwa sana kauli zao ambazo aghalabu huwa si za kuaminika. Viongozi hawa hawana msimamo thabiti katika maamuzi yao, bali hubadilika kulingana na hali ilivyo na |
Serikali isaidie hoteli zilizovurugwa na mafuriko
MAFURIKO makubwa yaliyotokana na mvua iliyonyesha hivi karibuni katika maeneo mengi nchini yamesababisha maafa na hasara kubwa ya mali. Watu wapatao saba wameripotiwa kufariki na wengine watano wan |
Jumuiya ivumishwe kabisa
UFUNGUZI wa sera na mpangilio mpya wa mawasiliano katika Wizara ya Jumuiya ya Afrika Mashariki juzi ulionyesha busara iliopo katika kufaninikisha ushirikiano baina ya nchi wanachama wa Jumuiya hii. Kw |
Umuhimu wa jalada la kitabu cha kifasihi
JALADA tunaambiwa ni karatasi ngumu inayofunika kitabu ambapo jina la kitabu huandikwa. Jalada kawaida huwa na sehemu mbili muhimu-sehemu ya uso au ya mbele na sehemu ya nyuma ambayo huitwa blabu. |
Aliyekuwa mtangazaji wa TV ashtakiwa
ALIYEKUWA mtangazaji katika kituo cha Televisheni cha KTN alishtakiwa jana kuwa mwanachama wa kundi haramu la Finger of God.Bi Esther Adongo Arunga alifikishwa mbele ya Hakimu Mkuu Gilbert Mutembei |
KILIO
|
Mshukiwa wa mwisho wa bomu ameuawa
: Indonesia imethibitisha kuwa polisi wamemuua mshukiwa mkuu wa mwisho wa mashambulizi ya bomu mjini Bali 2002. Tangazo la Rais Susilo Bambang Yudhoyono lilitokea siku moja baada ya polisi kusema |
Atazimwa uchaguzini
Serikali imetoa sheria itakayomzuia kiongozi anayetetea demokrasia, Aung San Suu Kyi kushiriki uchaguzi unaotarajiwa kufanywa. Hatua hiyo, huenda ikalazimu chama kimtimue. Sheria hiyo mpya inam |
SOGA soga - Viongozi wetu wamepagawa na uporaji mali
VITUKO haviishi hapa Kenya. Haikutosha atu fulani kwa watu fulani kuiba mahindi, wakateremsha na mafuta, halafu baada ya kushiba kwa miezi kadha, wakaibuka na kubug wakaibuka na kubugia pesa za masomo |
Washangaa kupata mali imeungua
WAFANYIBIASHARA wa nguo za mitumba mjini Kiambu jana asubuhi waliamka na kukuta mali yao imeungua, kufuatia kisa ch moto usiku wa kuamkia jana. Mbali na kuchoma baa ya Buffalo Springs iliyo karibu |
PC ashauri raia waepuke wauzaji shamba bandia
MKUU wa Mkoa wa Kati Bw Kiplimo Rugut amewashauri wananchi wawe waangalifu wanapojihusisha na uuzaji au ununuzi wa mashamba wasije wakahadaiwa. Alisema zaidi ya watu 5,000 mkoani humo wamepoteza pe |
Wanawake hawafiki benki kukopa pesa za kujiinua
ZAIDI ya Sh 800,000 za hazina ya wanawake (WEF) hazijachukuliwa kutoka benki wilayani Kaloleni kutokana na makundi ya wanawake kuogopa au kukataa kuchukua mikopo hiyo. Afisa Tawala wa kaloleni Bi A |
Mwanaume ashtakiwa kwa wizi wa maiti mochari
WATU wamezoea kusikia mtu akishtakiwa kwa kuiba pesa, kuku na vitu vingine. Lakini jana katika mahakama ya Kibera, mwanamume aliwashangaza waliofika kortini, aliposomewa mashtaka ya kuiba maiti kuto |
Ukosefu wa umeme wakumba hata ukulu
IKULU ya rais, Mombasa, na hata maeneo kadha kisiwani, yalitumbukizwa katika giza kutokana na ukosefu wa umeme. Afisa wa uhusiano mwema wa kampuni ya nguvu za umeme nchini (KPLC), Bw Bomba Mahaga, |
TAMASHA ZA MICHEZO YA KUIGIZA - Shule zawania kuwakilisha mikoa katika uigizaji
SHULE za upili jana zilijibwaga jukwaani jana katika ngazi za kimkoa huku zile za msingi zikijiandaa kwa ngazi ya kitaifa. Mkoani Pwani, shule ya msingi ya St Joseph iliibuka washindi katika vite |
Aunga mkono Katibu wa UN
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon alikosoa mipango ya Israel kujenga nyumba 1,600 zaidi kwa ardhi ya Wapalestina. Matamshi yake yameunga mkono maoni yaliyotolewa na Makamu wa Rais wa Am |
Tsvangirai: Ajali yachunguzwa
Kitengo cha upelelezi nchini Zimbabwe kinachunguza sababu ya gurudumu la gari la Waziri Mkuu Morgan Tsvangirai kupasuka akiwa ziarani katika eneo la Matabeleland ilhali lilikuwa gari jipya linalof |
Msomi aliyeudhi Waislamu afariki
Msomi maarufu wa Misri, Sheikh Mohammed Sayed Tantawi, ambaye sera zake za wastani ziliwaudhi Waislamu wengi, amefariki kutokana na maradhi ya moyo akiwa na miaka 81. Habari zilisema msomi huyo alifar |
SHERIA - Hakuniambia aliugua ugonjwa wa akili, nitamtaliki?
SWALI: Nimeolewa kwa miaka mitatu sasa ingawa tulikuwa na urafiki na hata kuishi pamoja na mume wangu kwa miaka miwili. Miezi minane baada ya harusi, alipatwa na ugonjwa sugu wa akili (manic depres |
SHERIA
ULIZA SWALI LAKO LA KISHERIA JE, una swali kuhusu sheria za kijamii ungetaka ujibiwe na wakala Lenson Njogu wa kituo cha Legal Resource Foundation? Tuandikie swali lako kwa 6003 ukianza na neno SHERIA |
JICHO PEVU - Mwongozo wa kuandaa kitanda na kukifanya kivutie
MARA nyingi unapobumburuka kutoka kitandani, unashughulikia mambo mengine bila kujali ulivyokiacha kitanda. Hii ni kwa sababu kuna dhana kuwa kitanda hakifai kupambwa jinsi unavyofanya mle se |
MAFUNZO YA JINSIA NI MUHIMA KWAKE
|
Mnyambuliko wa vitenzi vyenye asili ya kigeni
VITENZI vya Kiswahili ni vya aina mbili. Kuna vitenzi ambavyo ni vya asili ya Kibantu kama lugha yenyewe na kuna vitenzi vyenye asili ya lugha za kigeni. Rejelea mnyambuliko wa vitenzi vyenye asil |
Kiswahili, lugha iliyochangia kupata uhuru
MWENYEJI yeyote wa Afrika Mashariki na Kati anatambua mchango wa Kiswahili wakati wa kupigania uhuru. Katika kipindi hicho cha vuguvugu la kupigania uhuru cha miaka ya 60, viongozi wengi walijua |
Rais kuwa onyeshoni
RAIS Mwai Kibaki leo atajukumuika na Waziri wa Kilimo William Ruto katika ufunguzi wa Maonyesho ya Kilimo ya Eldoret ya mwaka huu katika uwanja wa ASK mjini humo.Maonyesho hayo ndiyo ya kwanza kati |
Manispaa yaombwa ijenge kituo cha kurekebishia tabia
MKUU wa Wilaya ya Kisumu Mashariki, Bw Mabeya Mogaka, amelitaka Baraza la Manispaa ya Kisumu lijenge vituo zaidi vya kurekebishia watoto tabia ili kuharakisha shughuli ya kuwaondoa watoto wa mitaani. |
Wataka walimu wafutwe kazi
WANAWAKE kutoka Pokot wanaitaka serikali iwafute kazi walimu wanaojihusisha kimapenzi na wasichana wa shule. Kiongozi wa wanawake hao, Bi Rael Kewasis, aliseama visa hivyo vimezidi katika maeneo ya Ch |
Mbunge ahofia usajili wa wapigaji kura utakwama
MBUNGE wa Bundalang'i, Bw Ababu Namwamba, jana alieleza hofu kwamba huenda shughuli ya usajili wa wapiga kura inayoanza Machi 22, ikatatizika kutokana na ukosefu wa fedha. Tume Huru ya Muda ya Ucha |
VITUKO UGHAIBUNI - Amea pembe yenye urefu wa sentimita 6
Nyanya mmoja nchini Uchina amewashangaza jamaa zake baada ya kumea pembe yenye urefu wa sentimeta sita katika sehemu ya kushoto ya paji la uso. Dalili zinaonyesha kwamba pembe nyingine huenda ikam |
Mashine ya soda yamnasa kijana
: Mvulana mkorofi alinaswa kwenye mtambo wa kuuza soda kwa zaidi ya saa moja alipojaribu kuchukua chupa ya soda ili kukata kiu. Iliwalazimu maafisa wa kuzima moto kumnasua. Nathan Thomson alikuwa a |
Apanga kutumia maboga kama mashua baharini
Maboga huhusishwa sana na sherehe za Halloween ughaibuni, lakini mwanamume kwa jina Medwyn Williams ameyatumia kwa njia ya kushangaza. Analenga kutumia boga kama mashua ya usafiri baharini kuchangis |
Watoa hati zinazolenga Kiplagat
WANAHARAKATI jana walitoa stakabadhi wanazodai zinafichua jinsi mwenyekiti wa Tume ya Ukweli, Haki na Maridhiano (TJRC), Bethwel Kiplagat, alisimamia vibaya harakati za kutafuta amani Somalia. |
Lugha sasa kutumika
HATIMAYE, lugha ya kutumia ishara itakuwa kiwango sawa na lugha rasmi nchini za Kiingereza na Kiswahili. Hatua hiyo imefuatia uzinduzi wa jana wa sera hiyo ambayo imesubiriwa kwa muda mrefu.
|
Mimba: Askofu atoa kauli yake
ASKOFU Mkuu Msataafu wa Kanisa la Kiangilikana Kenya amependekeza kura ya maoni isipigwe hadi wanasiasa wakubaliane kuhusu masuala tata kwenye Katiba Kielelezo. Hata hivyo, Askofu Mkuu David Gita |
Alipigana na ugonjwa na kuibuka bora katika KCSE
MWANAFUNZI aliyefanya mtihani wa kitaifa usimamishwe kwa muda baada ya kuugua ghafla mwaka uliopita, ameshangaza watu wengi kwa kuibuka mtahiniwa bora katika shule yake. Lucy Mwende Mumo, kutok |
Waandamana kushinikiza Rais aonekane hadharani
MAMIA ya raia wa Nigeria walikusanyika katika mji mkuu wa Abuja kwa maandamano yaliyolenga kumshinikiza Rais Umaru Yar'Adua, aonekane hadharani, wiki mbili tangu alipotoka hospitalini nchini Sau |
Agizo machifu wakomeshe ndoa za watoto
MACHIFU na manaibu wao wilayani Tana River wameagizwa wakomeshe ndoa za za wasichana wenye umri wa kwenda shule katika sehemu wanazosimamia.Mkuu wa wilaya hiyo, Bw Henry Obino, alisema utamaduni |
Serikali yarejelea kesi ya Pattni
MKUU wa Sheria, Bw Amos Wako, ataendelea na kesi ya wizi wa Sh5.8 bilioni dhidi ya Kamlesh Pattni na washukiwa wengine watatu. Wakili wa Serikali, Warui Mungai, alisema hayo baada ya Benki Kuu ya K |
Mbunge wa Lari ajitetea
MBUNGE wa Lari, Bw David Njuguna, jana alifika mahakamani na kutaka kesi ambapo amedaiwa kugawiwa ardhi ya umma itupiliwe mbali. Lakini juhudi zake kupitia wakili Ndung'u Wariuki ziligonga mwamba, |
SHTAKA
|
MAKABURI YATISHA KUMZIKA MUDAVADI
BUNDI wa ufisadi jana alitua mabegani mwa Naibu Waziri Mkuu Musalia Mudavadi na kutisha kuingiza mkosi maisha yake ya kisiasa. Wabunge na viongozi wa mashirika ya kijamii walimtaka Rais Mwai Kibaki |
Nimeshindwa kupata mimba
MIMI nina matatizo. Ninapotaka kupata mimba sipati. Ninaye rafiki Tanzania, tumejaribu nipate mimba na sijapata. Sijui iwapo sihesabu siku vizuri. Nifanyaje? Kupitia sms Itakuwa vyema muende mkamuone |
Ulemavu waniletea vizingiti
NAITWA Dan. Umri wangu ni miaka 23. Naishi Maunda. Naogopa kutongoza wasichana kwa sababu ni mlemavu. Je, nikitongoza watanikubali? Kupitia sms Kakangu, tofauti ya maumbile yako isikutie ho |
Nahofia mpenzi wangu mwanafunzi ataniacha
MIMI ni msichana wa umri wa miaka 22. Nina mtoto wa umri wa miaka minne. Tatizo langu ni kwamba mpenzi wangu yuko Kidato cha Tatu. Ananipenda sana, nami nampenda. Na pia anampenda mtoto wangu. N |
Nilionja asali ya kipusa mwenye kidevu
MIMI ni nyota wa michezo. Umri wangu ni miaka 21. Naweza kukufanyia kitu ukanitafuta tena. Nimefanya mapenzi mara kadha na mwanamke aliye na ndevu. Jambo hili ni kawaida? Ama litaathiri mai |
Simpendi kwa kuwa apenda kuniamrisha
UMRI wangu ni miaka 22. Nilikuwa na mpenzi kwa muda wa miaka miwili. Yeye ni askari na anapenda kuniamrisha. Kwa muda wa miezi miwili iliyopita penzi langu kwake limeisha. Anapiga simu anas |
Mpenzi hupenda kunichezea mchezo wa paka na panya
MIMI ni kijana wa umri wa miaka 16. Nina mpenzi nimpendaye, lakini amekuwa akinichezea mchezo wa paka na panya. Nifanyeje? Kupitia sms Kaka, ni mchezo gani hasa anaokuchezea? Ingekuwa vizuri ungef |
Asema nikome kumfuata
MIMI ni kijana wa umri wa miaka 20. Nimependana na mwanamke mwenye umri wa miaka 22 na ana mchumba. Kila nikimweleza anasema ana mume na nimkome kumfuata mfuata. Nifanyeje? Kupitia sms Ninavyoo |
Wakati wa mechi yetu ukiwadia tunakosana
MIMI ni kijana wa umri wa miaka 25. Nikipata mpenzi, ukiwadia wakati wa kuoana tunakosana. Nifanyeje? Zakayo. Kitui. Kupitia sms Inategemea mnakosana kwa sababu zipi. Kwani kama jambo hili |
Msichana ananipuuza
NINA msichana ambaye tumekuwa pamoja tangu mwaka jana. Lakini ameanza kunilenga. Je, nitafanyeje? Nisaidieni. Mesh. Kupitia sms Kwani huko kulenga ndio kufanyaje? Lakini kama hakutaki, maa |
Wakati wa kuoa bado kwangu
NAITWA Mwenda. Nina umri wa miaka 20. Kuna mpenzi anataka nimuoe haraka. Nami siko tayari kufunga ndoa wakai huu. Nimweleze vipi ili asinitoroke. Kupitia sms Kwenye ukweli, useme kama ulivy |
Kisiwa chapata umeme baada ya miezi mitatu
HATIMAYE kisiwa cha Zanzibar kimepata umeme wa kawaida kwa mara ya kwanza katika miezi mitatu. Nishati hiyo inayotoka Tanzania Bara kupitia chini ya bahari ilikatika mnamo Desemba 9, mwaka uliopi |
Changamoto za mke mrembo
warembo. Inafaa tu wanaume kubadilsha mtazamo wao na kuanza kutuamini maana ikiwa mtu amerembeka kwa kweli, hataacha kufuatwa na wanaume wengine," alisema Verah.Mshauri wa masuala ya mapenzi jijini |
Fataki - Namna ya kumtema mpenzi bila vurumai
NIMEPOKEA ujumbe kutoka kwa kaka fulani. Anasema anataka kujua jinsi anaweza kumfanya mrembo fulani aache kumuandama.Anasema hampendi msichana huyu lakini kila analofanya, jinsi anavyomsuta amwache |
MWANAMUME - KAMILI - Usitumie hasira yako kukwepa majukumu
UTHABITI na mshikamano wa familia hutegemea uongozi, hekima na matendo ya busara kutoka kwa mwanamume. Hivyo basi, wanaume mabwege wa leo ndio chanzo cha mivutano, vurugu na hali ya umasikini ukeketao |
Wakazi wahimizwa
MKUU wa Mkoa wa Nyanza, Bw Francis Mutie amewataka watu wa Kuria watupilie mbali mila zinazoathiri elimu. Alisema matokeo ya mtihani wa Kidato cha Nne (KCSE) ya mwaka jana, yanathibitisha kuwa ta |
Mwanamke akanusha mashtaka ya dawa
MWANAMKE jana alishtakiwa kwa kumnywesha dawa ya kupoteza fahamu mwanamume katika Casino, Nairobi. Bi Ann Wamngui Githuku ilidaiwa kwamba alimnywesha dawa iliyomfanya zuzu Bw Michael Mwania M |
Tamasha za michezo zaanza
TAMASHA za michezo wa kuigiza za Mkoa wa Pwani zimeanza katika ukumbi wa Mombasa University College huku idadi ya shule zinazoshiriki mwaka huu kupungua kutokana na ukosefu wa fedha za kutosha za ku |
Maadhimisho ya Maulidi yang'oa nanga Kisiwani
SHEREHE za mwaka huu za Maulidi ya Riyadha zilianza rasmi jana kisiwani Lamu ambapo zaidi ya waumini 20,000 wanatarajiwa kushiriki.Kulingana na afisa wa kamati andalizi ya sherehe hizo, Bw Muhd |
WALIMU WALEVI WANG'OLEWA
WAZAZI na wanafunzi wameungana kuwachukulia hatua walimu wazembe kazini kufuatia matokeo mabaya katika mitihani ya kitaifa.Katika kisa cha kwanza, wazazi wa Shule ya Msingi ya Ndumbi, wilayani |
Huenda waliotahiri wakakosa waume
WANAUME wameombwa wasiwaoe wanawake waliotahiriwa kama njia ya kukabiliana na utamaduni wa kutahiri wanawake nchini. Mwenyekiti wa shirika la Maendeleo ya wanawake (MYWO), tawi la Nyamira, Bi |
KIFO!
|
Mjane amlilia Kibaki kuhusu mzozo wa ardhi
MJANE kwenye mzozo ambapo Baraza la jiji la Nairobi liliuziwa ardhi ya makaburi mjini Athi River, ameenda mafichoni baada ya kutishiwa maisha. Taifa Leo ilifahamu jana kwamba Bi Agnes Nenkau alipig |
Wenye kuwadhulumu wake wao waadhibiwe - Mbunge
MBUNGE wa Eldoret Kusini, Bi Peris Simam, amewataka wanaume wanaowadhulumu wake wao wapatiwe adhabu kali. "Polisi wanastahili kuwa katika mstari wa mbele kupinga dhuluma zinazotendewa wanawake kwa |
Mshukiwa wa ulawiti asakwa
POLISI wa Molo wanamtafuta mwanamume anayedaiwa kumlawiti mwanafunzi wa chuo kikuu baada ya kuburudika kwa bia. Mwanamume huyo ambaye ni rafiki yake mwanafunzi huyo, alikuwa ameomba kumsindikiza mwath |
DC aagiza dereva akamatwe
MKUU wa wilaya ya Embu Magharibi, Bw Moahamed Maalim, jana aliagiza dereva wa matatu akamatwe kwa kutupa ovyo ovyo taka zilizoingia garini mwake. Dereva huyo Edward Muriithi, 34, alikumbana na hatu |
Kibaki aendelee kuchukua hatua
KWA miaka mingi sasa, utumishi wa umma umechukuliwa kama njia ya haraka zaidi ya kujitajirisha. Badala ya kuiona kama fursa ya kuhudumia raia wenzao, baadhi ya maafisa wameutumia kupora mali na kufili |
Tukabili hali ya hewa
Mabadiliko ya hali ya hewa ni ukweli halisi ambao sasa unaathiri kila mtu nchini. Yanaathiri maisha ya kila mtu kutoka wale wanaoishi mijini, wakulima mashambani na wachungaji katika sehemu mbalimba |
Wanawake waongoze utetezi wa haki zao
JANA, ulimwengu uliadhimisha siku ya Kimataifa ya Wanawake, ambayo husherehekewa Machi 8, kila mwaka. Sawa na sherehe zingine zenye hadhi ya kimataifa wanawake walikusanyika katika vituo vya umm |
Shirikisho lamsaka kocha kuinoa timu ya taifa kwa fainali za Kombe la Dunia
IVORY Coast imedokeza kuwa imo katika mazungumzo na Sven-Goran Eriksson kuhusu ukufunzi wa timu kwenye Kombe la Dunia. Kocha huyo aliyekuwa mkufunzi wa Uingereza alishuhudia mechi ya kirafiki dhidi |
Nazuzuliwa na akina nyanya
Mimi kijana wa umri wa miaka 22. Natamani sana wanawake wazee. Nisaidie shangazi. Robert L. Meru Kaskazini. Kupitia sms Kijana mdogo kama wewe, iweje utamani wazee. Ama umeshindwa kutongoza wa |
Mchumba ana uhusiano wa mapenzi na dadangu
Ninaye mchumba ambaye nampenda sana. Lakini nahofia ataniacha sababu kwani ana uhusiano wa kimapenzi na dada yangu. Nikimuuliza anakataa. Je, utanisaidiaje Shangazi? Lucy, Murang'a. Kupitia |
Nisipokula asali miezi 6 nitaumia?
Je, mwanaume kamili anaweza kukaa miezi sita bila kulala na mwanamke? Jose. Kilifi. Kupitia sms Anaweza kukaa hata mwaka mmoja iwapo ataamua hivyo. Masuala ya ngono yanahusu akili na iwapo utaio |
Namtaka huyo aliyekosa wa kumkata kiu
Katika gazeti la wiki iliyopita Alice alisema ana hamu ya mapenzi, lakini hana wa kumpatia. Tafadhali utukutanishe. Kupitia sms Mjomba, mimi sio kuwadi wako, tena sifanyi kazi ya kukutanisha watu.< |
Nilioa binti ambaye sikumtaka
Nina umri wa miaka 30. Wazazi wangu wamenipa msichana ambaye simtaki. Tumekuwa pamoja miaka mitano sasa. Ana watoto wawili wa nje ya ndoa. Niko Lamu. Ni wazi kwamba wewe ni mtu mzima. Hivyo un |
Waziri apinga Katiba bila majimbo
WAZIRI wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bw Amason Jeffa Kingi, ameilaumu Kamati Teule ya Bunge (PSC) kuhusu Katiba kwa kuondoa kipengele kilichowahakikishia Wakenya utawala wa majimbo. Alisema ` |
Mwanamke ashtakiwa kwa jaribio la ulaghai
MFANYABIASHARA alishtakiwa jana kwa kupanga njama ya kuibia kampuni moja Sh24 milioni. Bi Petronilla Nyambura, anayejulikana kwa jina lingine kama Serah Kang'ari, 42, alifikishwa mbele ya hakim |
Nyong'o akaangwa
WAZIRI wa Huduma za Matibabu, Profesa Anyang' Nyong'o, jana alihojiwa kuhusiana na hatua ya kumteua mkurugenzi wa chuo cha mafunzo ya matibabu (KMTC) bila kufuata kanuni. Ijapokuwa Dkt Mathews On |
VITUKO UGHAIBUNI - Mama aliyemwagia polisi maziwa ajuta
MWANAMKE anakabiliwa na shtaka la dhuluma baada ya kumwagia afisa wa jela maziwa kutoka kwa matiti yake.Toni Tramel, 31, kutoka eneo la Owensboro, Kentucky, alikamatwa Alhamisi iliyopita kwa ku |
Polisi waacha mwanamke akiwa uchi
POLISI wameshangaza watu kwa kumuondolea lawama mwanamke aliyekubali kufungiwa kwenye mti na mwanamume rafiki yake akiwa uchi wa mnyama. Mtu aliyempata mwanamke huyo akiwa uchi katika mbuga ya wa |
Afisa amwaga unga kwa kumuadhibu mshukiwa
NGUZO moja kuu ya haki, ni kwamba, sharti adhabu iwe na uwiano na kosa lililotendwa. Kwa kufuata haya, afisa mjini hapa ameamua kumuadhibu mvulana aliyezoea kuchora maandishi kila pahali, kwa kumpaka |
Wazazi wanaolazimisha binti kuolewa kushikwa
MKUU wa wilaya ya Tana Delta, Bw Elias Kithaura, amewaonya wazazi watakaopatikana wakiwalazimisha binti zao kuolewa mapema badala ya kwenda shule watachukuliwa hatua. Bw Kithaura pia aliwatahadhari |
Aliyevua chupi mbele ya mama ashtumiwa
MWANAMKE jana alishutumiwa na hakimu kwa kumvulia mama mkwe chupi akimlaani huku akimuita mchawi aliye na majini. Hakimu mwandamizi mkuu wa Kibera, Bi Grace Nzioka, alimwambia Gladys Muoti Nzonzo h |
Aomba kesi isikizwe na korti kuu
MSHUKIWA mkuu katika kashfa ya silaha hatari zilizopatikana jijini Nairobi na Narok jana aliomba kesi hiyo ipelekwe katika mahakama kuu. Bw Munir Ismail aliwasilisha ombi hilo punde tu upande wa ma |
KIZIMBANI - Akana kutumia dawa
Bi Anne Wangui Githuku akiwa mbele ya hakimu wa Mahakama ya Nairobi jana ambapo, alishtakiwa kwa kuweka dawa kwa pombe ya Bw Michael Musango Mwania na kisha kumpora simu ya mkono na Sh5,000 katika B |
HABARI ZA AFRIKA NA DUNIA - Wanafunzi watibiwa baada ya kuchapwa
: Watoto wanane wa Bangladeshi walipokea matibabu hospitalini baada ya kuchapwa na mwalimu mkuu wa shule yao kwa kusahau kubeba kalamu za rangi, polisi walisema jana. "Alijawa na hamaki alipo |
Mshukiwa aachiliwa
Mmishenari mmoja kati ya wawili Wakristo waliobakia Haiti wakizuiliwa kwa kujaribu kuwatoa watoto nje ya nchi hiyo, ameachiliwa huru. Bi Charisa Coulter, kutoka Idaho, aliondoka jela akiandamana |
Polisi wathibitisha mwili ni wa rais
Polisi wamethibitisha kuwa wamepata maiti ya aliyekuwa rais Tassos Papadopoulos, miezi mitatu tangu ilipoibwa kutoka kwa kaburi lake. Mabaki ambayo yalidhaniwa kuwa ya rais huyo wa zamani, ya |
SOGA soog - Ni nchi ya Omena na Mbuta, ni nchi ya kitu kidogo
Kenya ni taifa la wanasiasa. Ni wao tu wanaoweza kutenda mabaya na kuepuka hukumu. Usishangae kwamba, licha ya wizara nyingi kuhusishwa na ufisadi, hakuna mwanasiasa hata mmoja ambaye amelazimis |
Kibaki atetea amani Sudan
RAIS Mwai Kibaki jana alitoa wito kwa mataifa wanachama wa Muungano wa Pamoja wa Mataifa Kuhusu Ustawi (IGAD) wachunguze kwa uwazi changamoto zinazokabili Mkataba wa Amani wa Sudan (CPA). Rais al |
Ashtakiwa kwa wizi wa gari la Sh2.2m
MWANAMKE aliyeshtakiwa kuiba gari la thamani ya Sh2.2 milioni jana aliachiliwa na mahakama ya Mombasa kwa dhamanaa ya Sh200,000. Bi Angela Moraa pia alitakiwa apate mdhamini wa kiasi sawa na hicho h |
Watazamaji wa NTV sasa wataona vipindi vya DSTV kwenye simu zao
WATAZAMAJI wa runinga ya NTV sasa wataweza kutazama vipindi wavipendavyo kupitia mtambo wa DStv ya simu za mkononi. Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Nation Media roup anayehusika na idara Utangaza |
Pasta alitisha kunidunga kisu
Mimi ni mama wa umri wa miaka 40. Nina watoto wawili walio chuo kikuu. Kitinda mimba yuko kidato cha tatu. Mume wangu ni Pasta wa kanisa moja mashuhuri nchini. Aliniomba unyumba nami nikamwam |
Shangazi natamani tukutane
Shangazi nilianza kukusoma kwenye magazeti nikiwa na umri wa miaka 20 na sasa nina umri wa miaka 50. Je, naweza kukuona na macho yangu? Na una mume? Nipe namba yako ya simu. Simon. Kupitia sms |
Nisaidieni kwa dawa ya kupunguza ulevi
Tafadhali nipatie anuani ya anayedai kuwa na dawa ya kupunguza ulevi niijaribu mie. Tafadhali. Kupitia sms Iwapo hauna habari, dawa ya kumaliza ulevi unayo mwenyewe akilini kwako. Hakuna temb |
Naona haya kwa kuwa mkuki wangu ni mfupi
Shida yangu kubwa ni kuwa umbo langu ni dogo sana. Naogopa hata kuoga na rafiki zangu shuleni kwa sababu maumbo yao ni marefu na manono. Nahofia hata kuwatongoza wasichana sababu nahisi sitawaridhi |
Pambano la taji NBA raundi ya 3
Mchezaji George Hill wa klabu ya San Antonio Spurs akimrushia mpira mwenzake katika pambano la kuwania taji la Vikapu la Amerika (NBA) raundi ya tatu dhidi ya Cleveland Cavaliers mjini Cleveland, ju |
BARABARA YA AFRIKA KUSINI - Historia ya Pele katika soka haina kifani
HATA baada ya kuchipuka kwa wanaspoti wengi mahiri, historia ya mfalme wa Kabumbu duniani, Pele, haitafutika kwa urahisi. Wengi wametokea, wangalipo na wengine wamepita lakini sifa za mwanasoka stad |
Kocha aonya wachezaji
KOCHA mpya wa Nigeria, Lars Edvin Lagerback, ametahadharisha wachezaji wa Super Eagles akiwemo Nwankwo Kanu kuwa wasidhanie watateuliwa katika kikosi chake cha Kombe la Dunia iwapo hawatashiriki mechi |
Nahodha ana matumaini
LICHA ya Japan kutazamwa kama timu dhaifu kwenye fainali za Kombe la Dunia zitakazoandaliwa nchini Afrika Kusini, nahodha Shunsuke Nakamura anaamini timu itakuwa miongoni mwa nne bora. Timu ya Tak |
Gwiji Wetu - MTETEZI STADI WA MAZINGIRA NA WAVUVI NYANJANI
pia ulikuwa muhimu kwa wakazi wa Kilifi? Jibu:Kwanza, nataka ieleweke kwamba ilikuwa ni kilio cha wavuvi wenyewe ambao walikuwa wakiamini kuwa shughuli zao za uvuvi zingelisimama punde tu baada ya |
Mwanamume adungwa kisu na mkewe nyumbani
nyumbani. Mwanamke huyo alidaiwa kumvamia mumewe kwa kisu muda alipowasili nyumbani kutoka kazini. Pia alidaiwa kumdunga mume huyo sehemu tofauti na aliacha kumshambulia, wanakijiji walipofika k |
Wivu katika penzi ni kawaida, lakini usivuke mipaka!
Ni nani asiyekuwa na wivu? Ule msokoto unaouhisi rohoni, unapoona mumeo akitupa macho pembeni. Ama lile donge linalokusakama rohoni, unapoona mkeo anapendekeza na anakodolewa macho kila anapopita. |
Gwiji Wetu - MTETEZI STADI WA MAZINGIRA NA WAVUVI NYANJANI
Kwa majirani zake, anaonekana kama raia mwingine wa kawada anayeendesha shughuli za kujitafutia riziki yake. Lakini kwa wavuvi hasa wale wadogo wadogo mashinani, Omar Mohamed ni shujaa, mtetezi na m |
Ruto amkaribisha Waziri Mkuu Eldoret
WAZIRI wa Kilimo Bw William Ruto amewahimiza wakazi wa eneo bunge lake la Eldoret Kaskazini kumkaribisha Waziri Mkuu, Raila Odinga kwa heshima atakapotembelea eneo hilo wiki hii."Nataka kuchukua na |
HAKI YETU!
|
Wadaiwa kuua rubani
WASHUKIWA wawili wa ujambazi uliopelekea rubani wa ndege kuuawa walishtakiwa jana. Mabw Hesbon Vuhiru Amadade na Musa Ouma Anyango walidaiwa walimnyang'anya Martin Gitehi Njuma mali ya thamani ya S |
Katiba: Waziri aeleza imani ya maafikiano Naivasha
WAZIRI Msaidizi wa Kawi, Bw Charles Keter jana alieleza imani yake kwamba wabunge watatayarisha Katiba ambayo itawaunganisha Wakenya. Akiongea wakati wa ufunguzi wa kanisa la Africa Gospel Church (AGC |
Makanga ajiua juu ya Ukimwi
MAKANGA wa matatu jana alijiua mjini Homabay alipojulishwa kuwa alikuwa na Ukimwi. Kamanda wa polisi wa eneo hilo Bw Daniel Kimeu alisema mwanamume huyo alitembelea kituo cha VCT kujua hali yake, na p |
Wavuvi wasio na leseni waonywa
WAVUVI wilayani Tana River wameonywa dhidi ya uvuvi haramu. Afisa wa idara ya uvuvi wilayani Bw Evans Nyarango alisema wavuvi na wachuuzi wa samaki katika tarafa za Galole na Wenje hawajakata leseni m |
UASU - Serikali imeingilia sana usimamizi katika vyuo vikuu
CHAMA cha Wahadhiri Nchini (UASU) kimeishtumu Serikali kwa kuingilia kati katika usimamizi wa vyuo vikuu humu nchini. Katibu Mkuu wa chama hicho, Bw Muga K'Olale alisema kuingilia kati kwa Serikali |
Kesi ya Khalwale kusikizwa Mei 24
MAHAKAMA Kuu mjini Kakamega itasikiliza kesi inayopinga kuchaguliwa kwa mbunge wa Ikolomani, Dkt Bonni Khalwale hapo Mei 24. Jaji wa Isaac Lenaola aliwaomba wahusika katika kesi hiyo watoe ushahidi mo |
UAMUZI TATANISHI ULIONYIMA MAMIA FURSA YA KUSOMA
KILA matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yanapotolewa, wasiwasi wa wazazi, walimu na wanafunzi huwa ni ikiwa watahiniwa waliofuzu watapata nafasi katika vyuo vikuu hasa vya umma. Tajiriba ya miaka |
Ujumbe wa vitisho wamtia motoni raia wa Denmark
RAIA wa Denmark alifikishwa kortini jana kwa madai ya kumtumia mkurugenzi wa kampuni ya ulinzi ya Bob Morgan Security Services ujumbe wa vitisho akijiita mfuasi wa kundi haramu la Mungiki. Cornel |
Hakimu ajiondoa katika kesi
HAKIMU Mkuu wa Nairobi, Gilbert Mutembei jana alijiondoa kusikiza kesi ambapo mfanyabiashara wa Narok ameshtakiwa kwa kupatikana na silaha. Hakimu alijondoa baada ya kufahamishwa na wakili wa mshtak |
Uchaguzi wafutwa
MAHAKAMA ya Garsen jana ilifutilia mbali uchaguzi wa baraza la mji wa Garsen uliofanywa Agosti 12 mwaka jana, na kumrudisha Bw Hassan Albeit katika wadhifa wa mwenyekiti wa baraza hilo la mji. Haki |
Mahakama yakataa kupunguza kifungo cha mwanaume mnajisi
MAHAKAMA Kuu mjini Nakuru imekataa kupunguza kifungo cha miaka 20 alichohukumiwa mwanaume wa miaka 24 kwa kumnajisi mtoto. Jaji Anyara Emukule alikataa rufaa ya Benson Maembe aliyekuwa ameomb |
Korti za Kadhi si shida - SDA
VIONGOZI wa kanisa la Seventh Day Adventist wametofautiana na wenzao wa makanisa mengine kuhusu kuwepo kwa Mahakama za Kadhi kwenye Katiba mpya. Kasisi Paul Muasya, alisema hawaungi mkono mah |
Nyani ashinda maarifa maafisa wa wanyama
NYANI mtukutu ambaye amekwepa juhudi za kumkamata kwa muda wa mwaka mmoja, anaonekana kutowezwa na sindano za dawa za kumfanya alale, na kwa mara nyingine ametoroka kutoka mbuga ya wanyama ya Florid |
Nina wake 2 na wa kando lakini kiu bado
MIMI nina wake wawili ambao tunapendana sana. Umri wangu ni miaka 38. Pia kuna mpenzi wa kando tumependana sana. Mbiti. Kupitia sms Hata wanyama wa mwituni wana heshima zao, seuze wewe binadamu |
Mke wangu amekatalia uyaya licha ya kumpa kila atakacho
MIMI ni kijana wa umri wa miaka 32. Cha kushangaza ni kwamba mke wangu amekatalia uyaya. Tafadhali nipe ushauri wako. Kupitia sms Ni kwamba ameajirwa ama huo uyaya ni wa nyumbani? Kama ameajiriwa, nin |
Ana tamaa hivi kwamba hata awamu 15 si kitu...
NINA umri wa miaka 23. Tatizo ni kwamba mke wangu ana eneo kubwa. Hata nikifululiza kwa awamu 15 bado hatosheki. Mica. Naivasha. Kupitia sms Hata farasi jike huchoka, huyo wako ni vioja ambavy |
OCS afikishwa mahakamani
MSIMAMIZI wa kituo cha polisi na kakake jana walishtakiwa kuhusiana na wizi wa Sh256.5 milioni za kampuni ya ulinzi ya G4S. Bw Humphrey Kabanga Njau anayesimamia kituo cha polisi cha Kitui na kak |
KCSE: Binti ampeleka baba polisi
MICHANA ambaye inadaiwa kamba, alipigwa na babake kwa kuanguka mtihani wa KCSE, jana alikuwa mbioni kuhakikisha mzazi huyo amekamatwa na polisi. Bi Margaret Waithira Maina, 18, ambaye sasa anaishi |
Waliobakwa hawajapata haki
ULIMWENGU uliadhimisha Siku ya Wanawake duniani jana huku wanawake waliodhulumiwa kimapenzi humu nchini wakiwa hawajata haki kupitia mfumo wa sheria. Ripoti ya Protection and Restitution for Su |
Raila asukumwa amfute Mudavadi kuhusu ufisadi
NAIBU Waziri Mkuu Musalia Mudavadi anaendelea kukabiliwa na shinikizo za kumtaka ajiuzulu au afutwe kazi, kufuatia kashfa ya ununuzi wa eneo la makaburi uliofanywa na Baraza la Jiji la Nairobi. Mbu |
Wapigania pesa za CDF
WAKAZI wa mji wa Mpeketoni, Mombasa, waliandamana jana kulalamika kuhusu ufisadi miongoni mwa maafisa wa kamati ya Hazina ya Ustawi wa Maeneo Bunge (CDF). Waliongozwa na madiwani wanne na viongozi |
VITUKO UGHAIBUNI - Mke amtoa mumewe kinywani cha mamba
MAMA mjamzito amemuokoa mumewe kutoka kwa kinywa cha mamba. Lawrence Munro alikuwa ametumbukiza miguu ndani ya maji mtoni wakiwa kwenye matembezi na mkewe Kerryn, masaa ya jioni, pale mamba aliposham- |
Watoto 30 hawajatosha kwa mzee, 80
Mzee mkazi wa hapa ameitikia kwa dhati wito wa Biblia, wa kuzaa na kujaza ulimwengu. Mzee Hussain Ali, 80 amejaliwa watoto 30. Isitoshe, mkewe wa tatu anabeba mtoto wake wa 31. "Ni zawadi kutoka |
Ashikwa na mamilioni katika chupi
MUUZAJI aliyejaribu kutoroka na karibu Sh6.9 milioni kutoka Uingereza kwa kuficha pesa hizo ndani ya chupi yake, amehukumiwa kufungwa jela. John Maurice alikiri amehamisha zaidi ya Sh460,000 ki |
Japan yatoa Sh1.4 bilioni kuokoa misitu
JAPAN imeipatia Serikali ya Kenya msaada wa Sh1.4 bilioni kufadhili mpango wa kuhifadhi misitu, ili kukabiliana na majanga yanayotokana na mabadiliko ya hali ya anga. Akipokea msaada huo kwa niab |
Hawataki tuwe na katiba mpya
INGAWA tuna matumaini makubwa kwamba katiba mpya itapatikana wakati huu baada ya miaka na mikaka ya kuitafuta bila mafanikio, ni dhairi shairi kwamba, kuna watu wachache wanaotaka kutufuta sababu ya W |
Obama asifu uchaguzi mkuu uliofanywa Iraq
NEW YORK na BAGHDAD (Amerika na Iraq) RAIS wa Amerika, Barack Obama jana alisifu uchaguzi uliofanyika nchini Iraq na kuutaja kuwa "hatua kuu ya kihistoria." Uchaguzi huo wa ubunge ndio wa pili tangu |
Shangazi nakumezea mate!
SHANGAZI mimi nakumezea mate. Kila wakati mawazo yangu yako kwako. Nakuomba unitumie namba yako ya simu tuweze kuweka mikakati. Nina miaka 30 na sijaoa. Nakupenda sana. Kupitia sms Hayo mate huw |
Mpenzi ni kisirani, nifanyeje?
NAMPENDA sana mpenzi wangu. Lakini amezoea kunigombeza kila wakati. Nifanye nini? Kupitia sms Ukisikia dalili za ulofa ndio kama hizo. Kwani umeshindwa kuzungumza na kumweleza jinsi anavyokukera? Us |
Aliniambukiza, sasa adai ni mjamzito pia
Ninaye mpenzi ambaye tunapendana. Lakini wakati mmoja alifanya mapenzi ya kando nami sikujua. Pia akaniambukiza ugonjwa wa zinaa. Tukakata uhusiano naye na baadaye akaniambia ni mjamzito. Kupitia sms |
Kwake busu ni mwiko na asisitiza anipenda
NINA msichana ambaye nampenda sana. Lakini hataki nimbusu wala tufanye mapenzi. Nishauri. Emanuelo. Kupitia sms Mabusu unajua kupiga ama unamwaga mate ovyo ovyo? Elewa mjuzi wa mapenzi hana ha |
SOGA soga - Safari kwisha! Mtupe katiba mpya kwanza
Kwako waziri uliyezoea kususia Bunge ukidai una ziara ya kikazi, nina habari njema. Unaweza kwenda katika maktaba ambazo ni nyingi sana humu nchini na kutafuta kijisababu kingine cha kususia vikao |
MAZUNGUMZO - Watafuta suluhisho
Waziri mkuu wa Israel, Bw Benjamin Netanyahu (kulia) akiwa na Balozi wa Amerika, Bw George Mitchell katika mkutano wao mwishoni mwa wiki. Shirika linalopigania uhuru wa Palestina (PLO) lilikubali mazu |
Rais atoa agizo mjini
KAIMU Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan ameamuru vikosi vya usalama nchini humo vizuie silaha zaidi zisiingizwe katika eneo linalozunguka mji wa Jos. Hii ni baada ya ripoti kusema zaidi ya watu |
Maporomoko: Waokoaji kuondoka
MAAFISA waliosimamia shughuli za uokoaji katika eneo la Bududa, lililokumbwa na maporomoko ya ardhi nchini Uganda, walikuwa wanajitayarisha kufunga shughuli hiyo hapo jana. Ingawa Rais Yoweri Mus |
Tetemeko kuu laua watu 47 Uturuki
TETEMEKO kubwa la ardhi jana lilikumba Uturuki mashariki na kusababisha vifo vya watu 17. Tetemeko hilo lenye nguvu za 6 katika vipimo vya Richter na lililotikisa ardhi hadi kina cha kilomita 10 |
Watu 11 walipuliwa
ZAIDI ya watu 11 walifariki jana katika shambulizi la bomu la kujitoa mhanga mjini Lahore, Pakistan. Wengine zaidi ya 60 walijeruhiwa vibaya baada ya gari lililojazwa mabomu kugongeshwa katika afis |
Wakataa matokeo
CHAMA kikuu cha upinzani nchini Togo jana kilikataa matokeo ya uchaguzi wa urais nchini humo, ambayo yalionyesha ushindi wa Rais Faure Gnassingbe. Chama hicho, Union of Forces for Change kilisema k |
Washukiwa wanaswa na ngozi za wanyama
POLISI mjini Malindi wanawazuilia washukiwa wawili wa uwindaji haramu waliopatikana na ngozi za wanyama za thamani ya Sh100,000. Ramadhan Amani na Kache Kazungu walipatikana wakiwa na ngozi mbi |
Waziri aahidi usalama kwa wilaya mpya
SERIKALI imewahakikishia wakazi wa wilaya mpya zilizobuniwa mkoani Nyanza kwamba watapata vituo vipya vya polisi kama njia ya kukabiliana na ongezeko la uhalifu.Waziri wa Usalama, Profesa Georg |
Waliofanya vyema katika KCSE kufanya kazi ng'ambo
WANAFUNZI 20 kutoka shule ya upili ya Friends School Kamusinga waliopata alama A mwaka jana watahudumu kwa mieiz 18 nchini Canada wakifanya kazi kabla ya kujiunga na vyuo vikuu, Mwalimu mkuu, Bw Edw |
Ufisadi: Raila asisitiza watu wamulikwe
WAZIRI Mkuu Raila Odinga ameshikilia kwamba ni lazima watu waliohusika katika ufisadi waangaziwe kama watu binafsi. Wakati huo huo, Waziri Mkuu amekashifu mashirika ya kutoa misaada kwa kutowajibik |
Naugua, namtaka wa kuuzima moto
NINA kiu ya mapenzi baada ya mume wangu kupata ugonjwa wa Ukimwi. Umri wangu ni miaka 40. Nitafutie wa kunipooza roho. Serah. Karatina. Kupitia sms Yaani unamkimbia mumeo sababu ni mgonjwa? Dadan |
Kila nimpataye ni pesa kwanza
NINA umri wa miaka 22. Nampenda sana msichana mmoja, naye anasema ananipenda. Mara nyingi ananitumia sms za mapenzi. Siku moja akauliza kama nimefungua akaunti yeyote katika benki. Nikimwomba tunda |
Nampenda lakini mwili unamkataa
NIMEPATA msichana kwa miezi mitano. Lakini nikitaka kuwa naye shughulini mwili unakataa. Nikienda kwa mwingine nakuwa sawa. Ronald. Kupitia sms Inawezekana unakosa kujiamini ukiwa na huyo msichana. |
Mwanaume afa baada ya kuburudika katika loji
TAHARUKI ilizuka katika kituo cha biashara cha Kenol, wilayani Maragua jana mchana mwanamume alipoaga dunia baada ya kulewa usiku kucha na kisha kujifungia katika chumba cha loji na mwanamke. Inaki |
MAWAZIRI WAZIMWA KUSAFIRI
MAWAZIRI na wasaidizi wao watakosa anasa ya kwenda nje ya nchi kwa siku 30 zijazo Katiba Kielelezo itakapokuwa ikijadiliwa bungeni. Rais Mwai Kibaki alituma ujumbe kwa wizara zote jana akisema am |
MAADHIMISHO!
|
Polisi waomba msaada katika kisa cha mauaji
MAAFISA wa hospitali ya wilaya ya Kajiado, wakishirikiana na polisi, wamewaomba wakazi wa eneo la Isinya watambue miili ya wanawake wawili iliyopatikana kando ya njia. Mkuu wa idara ya operes |
Maslahi ya watumishi wa kampuni yalindwe
H kutetea ABARI kuwa kampuni zinazounda bidhaa za chumvi Mkoani Pwani hazijatimiza masharti ya kisheria ya humu nchini na kimataifa kuhusu leba ni za kusikitisha. Ripoti ya utafiti uliofanywa na shiri |
Baada ya matokeo, maisha ya baadaye yashughulikiwe
KUMEKUWA na kushangilia kwingi kwa wanafunzi na jamaa za waliofanya vyema katika Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne (KCSE) wa 2009 ambao matokeo yake yalitangazwa juma lililopita.Bila shaka kulik |
UKUMBI WA WAKITA - Tawi la Mombasa kufufuliwa karibuni
CHAMA cha Wakita kinapanga kuzindua tawi la Mombasa hivi karibuni, katika juhudi za kuhamaisha wanachama kushiriki shughuli zake. Naibu mwenyekiti wa kitaifa Bw Hassan Kinyua King'ori, alisema |
Kibogoyo akujibu
JANA tulimuahidi msomaji Mwicigi Mbugua wa Lari, Kiambu kwamba tutamjulisha majina ya mataifa wanachama wa muungano wa NATO. Jibu: Uingereza, Amerika, Ubelgiji, Albania, Croatia, Canada, Denmark, |
Mkusanyiko wa hadithi 10 zenye funzo
ANWANI: Waliponea Chupuchupu MCHAPISHAJI: Focus Books MWANDISHI: Angelina Mdari MHAKIKI: Bitugi Matundura TATHMINI a jicho kali uhusiana na utanzu wa hadithi fupi za watoto katika fasihi ya Kiswah |
Wasomi wanataka Sheng' iharamishwe
WASOMI wamependekeza kupigwa marufuku kwa lugha ya Sheng katika juhudi za kuzima athari zake kwa Kiswahili.Wasomi hao waliokutana kwenye kikao cha siku mbili katika Chuo Kikuu cha Moi pia wamehimiz |
Kampeni ya kuaibisha wasiotumia vyoo yaanza
WIZARA ya Afya ya Umma imeanzisha kampeni ya kukabiliana na kusambaa wa maradhi ya kipindupindu kwa kuwaaibisha watu wanaokwenda haja sehemu wazi. Kampeni hiyo kwa jina `Hakuna Kwenda Haja Kich |
Wamiminika kwa Maulidi
ZAIDI ya wageni 20,000 kutoka Afrika Mashariki na Kati wanatarajiwa kukusanyika kisiwani Lamu kuanzia leo kwa ajili ya sherehe za Maulidi.Mshirikishi wa kamati ya maandalizi Sheikh Muhdhar Khitamy |
Samaki: Mbunge apuuza ripoti ya vifo
MBUNGE wa Naivasha, Bw John Mututho amepuuzilia mbali ripoti iliyotolewa kuhusu sababu ya vifo vya samaki katika Ziwa Naivasha na akataka uchunguzi huru na wa kina ufanywe. Alisema kuna uwezekano mkub |
Wananchi waombwa wajisajili kwa wingi kuwa wapiga kura
NAIBU Waziri Mkuu, Musalia Mudavadi ametoa wito kwa wananchi wajitokeze kwa wingi kujiandikisha kupiga kura katika shughuli itakayoanza Machi 22. Bw Mudavadi alisema hiyo ndiyo njia ya pekee ya kuhaki |
UCHAMBUZI WA VITABU VYA FASIHI - Kweli `Kifo Kisimani' ni tamthilia iliyoficha maana
KATIKA makala ya leo tuangalie ufafanuzi wa Kifo Kisimani. Mbali na vifo vya kawaida au halisia vinavyowahusu wahusika kadha wakiongozwa na mhusika mkuu Mwelusi kuna maana fiche ya kifo.Kisima kina |
Serikali yanunua dawa nyingi
SERIKALI Imeagiza dawa za kutosha kuepusha uhaba wa katika hospitali za umma, katibu wa wizara ya Afya, Profesa James Ole Kiyiapi amesema. Alisema Serikali imenunua dawa za thamani ya Sh550 milioni |
Hadithi Fupi - Hofu yagubika kina Atanasi siku ya mtihani
POLISI wawili, mmoja wa kike na mwingine wa kiume waliokuwa wamebeba bunduki aina za AK-47 walisaidiana kupakua karatasi za mtihani kutoka kwenye gari na kuziingiza katika ofisi ya mwalimu mkuu. Baa |
Mzozo kuhusu mwanamke waishia kwa kifo cha mmoja
POLISI katika tarafa ya Kapenguria wanawazuilia mwanamume na mwanamke kuhusiana na mauaji ya mnywaji pombe katika kijiji cha Siyoi, wilayani Pokot Magharibi. Mkuu wa polisi wa Kapenguria, Bw David |
WFP kuendelea kusaidia wakazi
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Chakula (WFP)litaendelea kushirikiana na wadau wengine wilayani Mwingi kukabiliana na uhaba wa vyakula. Bw James Harvey wa WFP alisema kundi lake limeridhishwa na juhudi |
UNAOTA, RUTO AAMBIWA
MBUNGE maalumu wa chama cha ODM, Bw Musa Sirma, amemtaka Waziri wa Kilimo, William Ruto akome kuota kwamba anaweza kupata urais kwa kutegemea jamii ndogo. Bw Sirma pia ameikemea Kamati ya Bunge inayoh |
MAENDELEO - Uongozi wa vitendo
Waziri Mkuu Raila Odinga aweka jiwe la msingi kuanzisha rasmi ujenzi wa kituo cha maendeleo ya viwanda katika sehemu Bukhalala, eneo bunge la Butula mwishoni mwa wiki. Picha/JACOB OWITI |
NCCK motoni kuhusu tisho la kupinga Katiba mpya
WABUNGE watano wa chama cha ODM wamekashifu baraza kuu la makanisa nchini (NCCK) kwa kutangaza kwamba viongozi wake watashawishi wafuasi wao wakatae Kielelezo cha Katiba mpya. Walisema matamshi |
Ruto atosheka na ukarabati katika uwanja wa maonyesho
WAZIRI wa Kilimo, Bw Wiliam Ruto, amepongeza juhudi za Chama cha Maonyesho ya Kilimo (ASK) tawi la Eldoret, kwa kukarabati uwanja huo baada ya kukaliwa na wakimbizi kwa zaidi ya mwaka mmoja.Wakat |
Chama chawataka Kibaki na Raila watoe mwelekeo
CHAMA cha DP kimewataka Rais Mwai Kibaki na Waziri Mkuu Raila Odinga wafanye ziara ya pamoja kote nchini ili kuhimiza maridhiano ya kitaifa. Akizungumza mjini Meru mwishoni mwa wiki, katibu mkuu wa |
Je, Katiba mpya ihalalishe utoaji mimba?
Kifungu katika Kielelezo cha Katiba mpya kinachodaiwa kuruhusu utoaji wa mimba kimezua mvutano mkali kati ya viongozi wa kisiasa ma wenzao wa makanisa. Wanasiasa wanataka kifungu hicho kibakie k |
Wanawake bado ni wanyonge - Tume
WANAWAKE nchini Kenya hawajapewa uwezo wa kujisimamia, mkurugenzi wa Tume ya Kitaifa ya Jinsia na Maendeleo, Bw Peterlis Nyatuga, amesema. Hata hivyo, Bw Nyatuga amesema mipango inafanywa kwa len |
Walimu kuadhibiwa kwa matokeo mabaya shuleni
WALIMU wakuu wa shule za umma wilayani Kajiado ya Kati ambao shule zao zimekuwa zikifanya vibaya kwenye mitihani ya kitaifa, wameonywa kuwa watapoteza vyeo vyao.Afisa mkuu wa elimu wilayani humo, |
Maswali ya shairi la Kamusi ya Changamka la Q FM
1. Tunapata ujumbe gani kutokana na shairi hili? (alama 4) 2. Mshairi anashuku nini katika ubeti wa pili? (alama 2) 3. `Tunakupenda Arunga, Kenya nzima tunaliya.' Nini kinachomfanya Arunga apendwe Ken |
Gwiji wa malumbamo asiyetishika hata kidogo
GWIJI wa ushairi Ustadh Wanto Warui ni mshairi mkomavu ambaye ametunga mashairi chungu nzima. Lakabu yake ni Kijawabu Mla Ngwena ambayo inaashiria ukali wake wa kujibu malumbano na kuwatafuna mahasidi |
SIKU YA WANAWAKE DUNIANI - Maelfu hufariki kila mwaka
ULIMWENGU unapoadhimisha leo Siku ya Wanawake � imebainika kuwa wanawake 21 hufariki nchini Kenya kila siku kutokana na matatizo ya kujifungua. Sababu hiyo ndio imeelekeza shirika la White Ribbon A |
Wilaya mpya zapata wakuu wa polisi
SERIKALI imetuma wakuu wa polisi katika wilaya tatu mpya zilizobuniwa kama njia moja ya kupambamba na uhalifu. Mkuu wa polisi mkoani Pwani, Bw Leo Nyongesa alisema maafisa hao wa polisi wametumwa k |
Aliyekuwa Waziri wa Leba aaga dunia
ALIYEKUWA waziri Dkt Newton Kulundu aliaga dunia mapema jana baada ya kuugua kwa muda mrefu. Mbunge huyo wa zamani wa Lurambi, Mkoani Magharibi aliaga dunia mwendo wa saa 11 alfajiri, katika hospit |
Wakuu wa makanisa walegeze msimamo
MJADALA mkali unaoendelea kati ya viongozi wa kisiasa na wenzao wa makanisa kuhusu suala la Haki ya Maisha unaweza kuvuruga juhudi za kutafuta Katiba mpya, ambazo zimefikia hatua muhimu. Mvutano hu |
Uhuru wa uandishi ulindwe
KAULI ya Spika wa Bunge, Bw Kenneth Marende, kwamba uhuru wa vyombo vya habari unapaswa kupewa kipau mbele katika taifa hili inafaa kutiliwa maanani na Serikali. Bw Marende ambaye alikuwa akizungumza |
Tulainishe utaratibu wa elimu shuleni zetu
NI WAZI kwamba hakuna usawa katika viwango vya masomo katika shule zetu kufuatia matokeo ya mtihani wa kitaifa wa Kidato cha Nne (KCSE) yaliyotangazwa mapema juma lililopita. Hili ni jambo ambalo l |
Orodha ya wachezaji wa Stars ilibadilishwa kisiri
KENYA iliandaa mashindano ya kandanda ya Afrika Mashariki na Kati kugombea Kombe la Senior Challenge Cup jijini Nairobi mnamo 1979. Wiki moja kabla ya mapambano hayo kung'oa nanga, chama cha Kandan |
Shikuku alikataza timu kutumia majina ya kigeni
MNAMO 1975, aliyekuwa mwenyekiti wa Shirikisho la Kandanda la Kenya (KFF), Martin Shikuku aliagiza klabu zote za soka zilizokuwa na majina ya kigeni kugeuza majina yao na kutumia majina ya hapa nchi |
Wasiwasi wakumba wawakilishi wa Afrika huku muda ukiyoyoma haraka
DIMBA la Mataifa ya Afrika nchini Angola lilizua shaka kubwa kuhusu uwezekano wa taifa la bara hili kupiga hatua kubwa kwenye Kombe la Dunia. Hali ilionekana ya kutia wasiwasi zaidi wiki jana kwe |
Familia ilichukiwa kwa sababu ya mchezaji
ILIMBIDI mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Nyanam, John Omollo kubeba msalaba wa mtoto wake, James Odawo, ambaye alijiuzulu kutoka klabu hiyo ya Nakuru na kuhamia Kenya Farmers Association (KFA) na |
AHADI ZA MADHEHEBU ZINAVYOTEKA WAFUASI
Lakini siku waliyotabiri ilipotimia, shughuli zilikuwa za kawaida na hakukuwa na ishara zozote kuwa mwisho wa dunia ulikuwa umewadia. Viongozi wa kundi la Yahweh walitiwa nguvuni na kuzuiliwa gerez |
WAKE MAKAHABA
UKAHABA katika mitaa ya Nairobi na miji mingine nchini umechukua sura mpya huku makundi tofauti yakijiunga na biashara hii inayo- pigwa vita na mashirika ya kijamii na kidini. Na sasa mashirika hayo y |
Jaji akataa ombi la mtangazaji
MAHAKAMA kuu jana ilikataa kuitikia ombi la aliyekuwa mtangazaji wa KTN, Esther Arunga la kutaka wazazi wake na polisi wakatazwe kumzuilia. Jaji Jean Gacheche alisema kesi inahusu wazazi, binti yao |
Watumbuiza kwa shairi
KAUTHAR Khamis (kushoto) na Mercy Ndeto (kulia) pamoja na wenzake wa Mt Sinai Academy ya Likoni wakikariri shairi la Kizingo wakati wa tamasha za muziki na michezo ya kuigiza baina ya shule za msingi |
VITUKO UGHAIBUNI - Wahalifu waonywa wasitumie facebook
kiwa una rekodi ya uhalifu na unasakwa na polisi, itakuwa bora ikiwa utajiepusha na tuvuti ya Facebook. Hilo ndilo funzo chungu alilojifunza mshukiwa Chris Crego aliyekuwa amekiri kumshambulia mwen |
Afurahia kuzaliwa na sigara 20!
Ingawaje ametimiza miaka 100, hana nia ya kuwacha uraibu na starehe zake. Lorna Gobey, alisherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kuvuta sigara na kuburudika kwa mvinyo. Na umri wake, kamwe hautamzuia ku |
Ajuta kuruhusu mtoto kuongea
Wasimamizi wa safari za ndege Amerika wanac- hunguza tukio ambapo mwelekezaji katika uwanja wa JFK, New York alienda kazini na mwanawe, na kumruhu- su kuwasiliana na rubani. Amesimamishwa kazi baad |
Mvua yanyesha samaki kijijini
Wakazi wa kijiji cha Lajamanu walipigwa na butwaa baada ya mvua kunyesha samaki waliokufa na walio hai. Walis- hangaa baada ya samaki hao weupe kuanza kuanguka kutoka mbinguni. Bi Christine Balmer |
Pendekezo kompyuta zikataliwe
WIZARA ya Habari na Mawasiliano inapendekeza kupigwa marufuku kuing- izwa nchini kwa kompyuta zilizotumika na zilizokara- batiwa, katika hatua ya ku- zuia uchafuzi wa mazingira. Katibu Mkuu, Dkt Bi |
Polisi wanasa washukiwa 14
POLISI wa Turkana wamewana washukiwa 14 na kutwaa bastola 10 na risasi kadha katika operesheni ya kukabiliana na majambazi katika bara- bara ya Kitale-Lodwar. Jana, mshukiwa alipa- tikana na bunduk |
Baba alazimika kumzika binti yake aliyeolewa
MFANYABIASHARA maarufu alilazimika kumzika binti yake aliyeolewa nyumbani kwake baada ya mashemeji zake kukataa azikwe katika boma lake ambapo aliishi pamoja na mke mwenza. Mwanzoni mambo yote yali |
Waziri atatea waathiriwa
WAZIRI Msaidizi wa Michezo na Mashauri ya Vijana, Bw Kabando wa Kabando, ameitaka Wizara ya Ardhi itoe pesa za kuwanunulia waathiriwa wa ghasia za baada ya uchaguzi mashamba. Bw Kabando alisema Sh1 |
Mrembo wetu kapambika kweli!
LILIAN JUMA mwenye umri wa miaka 23 anatupambia ukurasa huu leo. Anapenda kusafiri, kusikiza muziki, kusoma na kuogelea. Yeye ni mwanafunzi katika chuo urembo, Nairobi. |
Tuko chonjo mipakani, - Saitoti
SERIKALI imeweka mi- kakati kabambe ili kuka- biliana na mizozo ya mara kwa mara katika mipaka yake na nchi jirani, Waziri wa Usalama, Prof George Saitoti amesema. Waziri alitaja mipaka inayohusika |
Kanisa lalalamika kwa sakramenti kutemwa
Kanisa Katoliki nchini Malaysia limewakosoa wakuu wa nchi kwa kuto- chukua hatua dhidi ya wana- habari wawili Waislamu wali- opokea sakramenti. Wawili hao waliweka sakramenti hiyo mdomoni na kisha kui |
Unyakuzi watatiza chuo kikuu
HUENDA Chuo Kikuu cha Mombasa Polytechnic kikashindwa kutimiza malengo ya masomo mapya kutokana na unyakuzi wa ardhi zake. Mkuu wa chuo hicho, Prof Josphat Mwatelah, alise- ma masomo ya masuala ya |
Bunge lachunguza kwa nini polisi walipuuza mauaji
Bunge la Seneti nchini Nigeria linachunguza ripoti kuwa polisi walikosa kufika sehemu ambapo ujambazi wa kinyama uli- fanyika na kuwaacha wengi wakiwa wamefariki Picha za maiti zilizotapa- kaa katika |
Wanalalamika kunyimwa unyumba
Na linalosikitisha ni kwamba, baadhi yao wanakiri kuhusika na tabia hii baada ya kile wanachodai kuwa ni kun- yanyaswa na wachumba wao wanapowaomba pesa. "Mimi ni mke wa mtu lakini mume wangu hajui |
Wake wangu wawili, watoto wanitoroka nilipopoteza kazi
>> SWALI: Nilikuwa na wake wawili na tukajaliwa na watoto tukiishi maisha ya furaha lakini, nilipopoteza kazi wakanitoroka na watoto. Nilifungua biashara na ikafaulu. Sasa wanataka kurudi lak |
Je, mke wangu ana mpango wa kando?
SWALI: Saulo mimi nina miaka 40 na watoto wanne, lakini bibi hu- lalamika eti jogoo langu ni dogo huenda ana mwengine mwenye jogoo kubwa? Nifanye nini kwa sababu nampenda sana. JIBU: Sio lazima awe |
Kidokezo - Upangaji uzazi unasaidia
MBINU za upangaji uzazi zimetajwa kuwa baadhi ya hatua muhimu zinazoweza kupunguza vifo vya wanawake wanapojifungua.Imeelezwa kuwa wanawake 21 hufariki kila siku kwa sababu ya kuvuja damu nyingi ba |
Harambee ipate mwamko mpya
TIMU ya taifa ya kandanda, Harambee Stars imepata bahati ya kufuzu kwa raundi ya pili ya mashindano ya Ubingwa wa Afrika baada ya wapinzani wao Ethiopia kujiondoa. Bila shaka hii ni afueni kubwa kw |
Hatua za Ocampo kuzua chuki nchini
Kiongozi wa Mashtaka katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), Bw Louis Moreno-Ocampo, majuzi aliwasilisha majina ya watu 20 walioshukiwa kuhusika katika ghasia za baada ya uchaguzi kwa majaji wa |
Viongozi wetu wajifunze kung'atuka
NIMEAMBIWA mara kadha kwamba viongozi katika mataifa yetu ya Kiafrika hawana mazoea ya kubanduka mamlakani wanapolazimika kufanya hivyo.Ni kifo tu ambacho huwang'oa ofisini na kama ingewezekana wan |
AMEIPATIA SIFA SHULE YA WEIWEI
NI jambo la kawaida kwamba mwanafunzi anayeibuka miongoni mwa kumi bora kwenye mitihani ya kitaifa, lazima awe alisomea katika shule zinazotajika; Alli- ance, Mang'u au Starehe. Lakini dhana hii il |
Afya - Licha ya udogo, ni tisho kwa umma
FUNZA ni wadudu wadogo ambao licha ya udogo wao wamegeuka kuwa tisho kuu kwa wanadamu. Jamii nyingi nchini zimelemazwa na wadudu hao kwa kuumwa miguu na mikono, na kubaki viwete. Walioathirika zaidi n |
WASHUKIWA WAKUU WA G4S WANASWA
WASHUKIWA wakuu wa wizi wa zaidi ya Sh300 mil- ioni kutoka kwa kampuni ya ulinzi ya G4S mwezi uliopita wamekamatwa. |
Watoto 11 wa shule wapachikwa mimba
WANAFUNZI 11 kutoka shule moja ya msingi wilayani Narok Kusini wamepachikwa mimba. Kwa mujibu wa afisa wa watoto wilayani, Bw Julius Ngoko, wasichana hao ni wa kati ya miaka 10 na 15 na waligunduli |
MSUKOSUKO WA KIDINI - Wanavyonaswa na ahadi za madhehebu
MNAMO Septemba 12, 2006, wafuasi wa dhehebu la House of Yahweh nchini, wakiongozwa na kinara wao Bw Moshe Sang, walitangaza kwamba mwisho wa dunia umewadia. Chini ya Bw Sang, waumini wa dhehebu hiyo w |
UKWELI WA MAMBO - Watu wazima hucheka mara kati ya 50 na 100 kwa siku!
KICHEKO WATU hucheka wakiwa na furaha. Yasemekana kwamba kicheko hupunguza mawazo na pia husaidia kuimarisha kinga za mwili dhidi ya magonjwa. Watoto hucheka sana kuliko watu wazima. Kwa mfano, wat |
MACHOKORA NI TISHO KUU
TANGU Kenya ijipatie uhuru zaidi ya miaka 40 iliyopita, visa vya uhalifu vimeongezeka maradufu. Wanaohusika na masu- ala ya kijamii wanadai visa hivi vinaongezeka kwa sababu ya ukosefu wa ajira na |
UTAPELI MKALI - Mtego wanasa wanaotafuta kazi, wapenzi
NYAKATI nyingi utapeli wa mtandaoni unaonekana ku- sakama watu ambao wana- tafuta kazi, wapenzi au pesa za kushinda bila jasho. Lakini yamkini hata walio kwenye safu ya usanii wameta- mbuliwa kuwa |
BARUA-PEPE YA AJABU - Mwalimu bandia atuma ujumbe unaomkashifu vikali Rais Obama
RAIS Barack Obama amekabil- iwa na changamoto tele tangu achukue uongozi wa taifa ma- hiri zaidi duniani la Amerika. Amepigwa vita kila kona, na akasifiwa vile vile kila upande. Lakini barua ina |
Kesi ya Sh7.5m yasubiri uchunguzi kamili
POLISI hawajakamilisha uchunguzi wa hati katika kesi ambayo mkurugenzi wa kampuni moja ameshtakiwa kwa kulaghai kampuni nyingine mali ya thamani ya Sh7.5 milioni, mahakama iliambiwa jana. Kesi inay |
Mtapeliwa anangojewa apate nafuu
ALIYEKUWA kamishna wa Mamlaka ya Ushuru Kenya (KRA), Bw John Gerin Msafari, angali katika mshtuko kwa kupoteza Sh7.3 milioni kwa mganga, mahakama iliambiwa jana. Kiongozi wa mashtaka, Inspekta Mkuu |
Akiri kosa la kutotangaza
AFISA aliyesimamia uchaguzi katika sehemu ya uwakilishi bungeni ya Makadara amekiri kwamba hakutangaza matokeo yote ya wagombea kiti hicho katika uchaguzi mkuu wa 2007. Bi Jerusha Chepsat alimwelez |
MASHTAKA - Mtangazaji ashtaki wazazi
WAKILI Edward Oonge katika Mahakama Kuu jana kabla ya kusikilizwa kwa kesi ya ambapo aliyekuwa mtangazaji wa run- inga ya KTN Bi Esther Arunga amewashtaki wazazi wake akidai kuwa wamekiuka haki zake k |
Huru baada ya miaka 10 rumande
MAHAKAMA ya rufaa jana iliwaachilia wafungwa wawili waliokaa rumande miaka kumi. Wafungwa hao Fredrick Mutisya Wambua na Augustus Munyolo Kalelu walikuwa wamezuiliwa katika gereza kuu la Kamiti baa |
Sababu madhehebu bishani yanakuwa sumaku kwa waumini
SABABU nyingi zimetolewa kwa nini watu huamua kuacha makanisa yao na kujiunga na madhehebu yasiyojulikana. Hata hivyo, watalaamu wanakubaliana kuwa sababu kuu hutokana na watu kuchanganyikiwa au kuwa |
IMANI POTOVU - Madhehebu haramu yaliyozua kilio, hasara
KWA kipindi cha mwongo mmoja uliopita, madhehebu mengi yamechipuka Afrika Mashariki. Madhehebu hayo ambayo mengi yamedaiwa kufa- dhiliwa na wanasiasa, yalisababisha umwagikaji damu na hasara kubwa huk |
Vibali maalumu vya kazi vyazimwa
SERIKALI imepiga marufuku vibali maalumu vinavyotumiwa na wageni kujipatia kazi humu nchini.Akitangaza hatua hiyo hapo jana, Waziri wa Uhamiaji, Bw Otieno Kajwang', alisema vibali hivyo vimekuwa vi |
HASARA - Mafuriko yafagia eneo kubwa
MMOJA wa wanajeshi wa Kenya walioenda katika eneo la Archers Post mpakani wa wilaya za Isiolo na Samburu kuowaokoa raia kutoka eneo la mafuriko baada ya Mto Ewaso Nyiro kuvunja kingo zake juzi kutokan |
Watano wasombwa
WATU watano wanahofiwa kufariki baada ya kusombwa na mafuriko yaliyotokea baada ya mto Ewaso Nyiro kuvunja kingo zake wilayani Garbatula.Watano hao ambao ni wachungaji wa mifugo waliripotiwa kutowe |
Afisa wa elimu atoa onyo kali kwa walimu wazembe
AFISA wa elimu wilayani Nyamira, Bw Hassan Duale ametishia kuwachukulia hatua za kinadhamu walimu wenye tabia ya kutohudhuria shule. Akihutubu wakati wa warsha ya walimu wa eneo la Nyamaiya, mkuu h |
Watakiwa waende maeneo ya juu
WAKAZI wa Wilaya ya Tana River wameshauriwa wahamie maeneo ya juu ili kuepuka mafuriko kando ya Mto Tana. Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Bw Ernest Munyi alisema kuna uwezekano mkubwa wa mto huo kuvunja kingo |
Mhalifu sugu aachiliwa kwa sharti
Mhalifu sugu amewachiliwa kwa dhamana ya Sh50,000 ili aweze kudumisha amani kwa mwaka mmoja. Mohameed Ali Adan ambaye alihukumiwa na Hakimu Mkuu wa Nanyuki, Bi Hannah Ndung'u alikuwa anakabiliwa na |
Maafisa wadai uchunguzi duni wavuruga kesi nyingi
IDARA ya mahakama imelalamikia ongezeko la kesi zinazotupiliwa mbali kutokana na uchunguzi hafifu na maafisa wa upelelezi. Kamati moja ya maafisa wanaochunguza shughuli za mahakama wilayani Nyahuru |
Shirika laokoa wasichana 2 waliokuwa waoelewe
SHIRIKA la World Vision-Kenya limewaokoa wasichana wawili wa shule za msingi kutoka mikononi mwa wanaume waliotaka kuwaoa katika ya taarafa ya Bamba, Wilaya ya Ganze. Maafisa wa shirika hilo waliwa |
Mali ya maelfu ya pesa yasombwa na mafuriko
MALI ya thamani ya maelfu ya pesa iliharibiwa usiku wa jana baada ya kusombwa na mafuriko yaliyokumba soko la Yatya wilayani Baringo Kaskazini. |
SOGA og Ukianguka kwa jambo moja, fanya bidii kwa jingine
KUVUNJIKA kwa mwiko bila shaka si bila shaka si mwisho wa upishi.Kama wengi wangefuata ush- auri huyu wa busara, dunia ingekuwa pahala pema pa kuishi Ninasikia tangu Jumanne, kuna wazazi na watoto |