Taifa Leo Newspaper Headlines

Categories

News
Sports
Taifa Leo

 Home >> Kenya >>

Taifa Leo


Taifa Leo Newspaper: Read daily updated headlines of Taifa Leo Newspaper

Taifa Leo is a Kiswahili daily newspaper in Kenya. The paper was launched in 1958 as a paper for the ordinary Kenyan. This newspaper offers entertainment and up to date news analysis, business news, features and sports, among others.

Newspaper Software

News Headlines:


Askofu na Kamanda sasa kurudia uchaguzi Starehe JAJI AMEAMUA VYEMA-WANJIRU
MAHAKAMA jana ilikataa ombi la kumtangaza Bw Maina Kamanda kuwa mbunge wa Starehe moja kwa moja, baada ya kubainika alikuwa amemshinda Askofu Margaret Wanjiru wakati wa uchaguzi mkuu wa 2007.

Jaji

Mwanamke ameza kadi ya simu ili kuhadaa
MWANAMKE alisababisha kizaazaa mjini Nyamira baada ya kumeza kadi ya simu aliyotumia kutuma Sh20,000 bandia katika kituo cha M-pesa.

Hata hivyo, mwanamke huyo aliyekuwa amevalia nadhifu, hakubahati

Wakadiria hasara ya moto afisi za baraza
MANISPAA ya Mombasa inakadiria hasara baada ya baadhi ya afisi za idara ya kuzima moto kuteketea licha ya kuwa na gari za kuzima moto papo hapo.

Ililazimu wazima moto wa manispaa kuomba msaada kuto

Wapigania jezi sokoni
WATU kadha walijeruhiwa kwa kukanyagwa wakipigania fulana katika kituo cha biashara cha Kagumo ,wilayani Kitinyaga ya Kati jana wakati wa mkutano wa hadhara wa `NDIYO'.

Fulana hizo zilikuwa zikipe

Afisa wa jela anaswa kuhusu wizi
AFISA wa gereza na raia waliosemekana kuvunja nyumbani kwa naibu wa waziri na kuiba wamekamatwa.

Afisa mkuu wa polisi wilayani Bomet, Bw George Ali Losku, alisema jana kuwa wawili hao wanaoshukiwa

Katiba inajali kina mama I
U NAPOIPIGA darubini Katiba inayo pendekezwa itakayopigiwa kura ya maamuzi Agosti nne, utagundua kwamba kama kweli yaliyomo yatatekelezwa yanavyoelezwa, it
Ni aibu kwa viongozi kujibizana hadharani
KAMPENI kuhusu Katiba inayopendekezwa zinapofikia kikomo, Wakenya wana mengi ya kutafakari kuhusu viwango vya demokrasia nchini.

Ni jambo la kuhuzunisha kwamba s

Mateso ya Nyayo House yaliyoshtua Utawala
Na HUGHOLIN KIMARO WAKENYA walipoungana na wahanga wa mateso katika Nyayo House mnamo Juni 10, baadhi ya wahanga waliopata nafasi ya kuzungumzia siku hiyo walikuwa na visa tele vya kusimulia. V
Mateso yametumiwa na serikali tangu uhuru kuzima wapinzani
TANGU uhuru, viongozi waliokuwa mamlakani wametumia kila mbinu kukabiliana na upinzani.

Utawala wa hayati Mzee Jomo Kenyatta umeshtumiwa kwa kuwafunga jela wapinzani bila mashtaka. Wapinzani wakuu

Hatimaye waathiriwa wa mateso watalipwa?
UAMUZI wa Jaji wa Mahakama Kuu, Bi Hannah Okwengu kuwa Serikali iwalipe waathiriwa wa mateso yaliyotokea katika vyumba vya mateso vya Jumba la Nyayo umepokelewa kwa shangwe na waathiriwa.

Jaji huyo

WASIWASI WA VILEO VYA KUUA
HUENDA Serikali ikakabiliwa na wakati mgumu kuitekeleza sheria mpya inayohalalisha uteng'enezaji na unywaji wa pombe ya chang'aa ikiwa Rais Kibaki ataidhinisha mswada uliopitishwa na bunge kuwa sheria
HEKO KIBAKI KWA UJASIRI
MARA ya mwisho Mwai Kibaki alifanya kam peni moto moto bila kupumzika ni kabla ya uchaguzi mkuu wa 2002, hata ingawaje hakufanya hadi mwisho baada ya kuhusika katika ajali ya barabarani
UKWELI WA MAMBO Jiwe lenye urefu wa mita 318 na ukubwa wa kilomita nane
AYERS JIWE linalopatikana nchini Australia ambalo linafahamika kama "Uluru", ndilo kubwa sana duniani. Lina urefu wa mita 318 na ukubwa wa kilomita nane.

Inasemekana jiwe hili linaweza kuf

VITUKO VYA MTANDAO
BARUA-PEPE YA AJABU Watumiwa ujumbe kuwaonya wasitumie kompyuta kitandani UJUMBE unaosambazwa kwenye mtandao unaonya watu wawe chonjo wanapotumia mashini ya kompyuta kitandani au kwenye kochi.

"R

Alitawala katika nyanja ya uimbaji
SIKU kadha baada ya kifo cha mwim baji maarufu Oliver Ng'oma, mashabiki wake wangali na mshtuko huku vibao vyake viinuka ghafla kuongoz
Afya Umuhimu wa pendo la mama
HALI ya maisha siku hizi imeifanya vigumu kwa mama kukaa na mtoto muda mwingi.

Hata wanapokuwa pamoja, mama huwa na shughuli nyingi na wakati mwingine hukasirishwa na mahitaji ya mtoto kama vile ku

Mabingwa wa Co-op kuzienda na `magaidi' wa Chuo cha Nairobi
BINGWA wa zamani wa ligi maalum ya mpira wa vikapu Co-operative Bank inakutana na Terrorists ya Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye mechi ya mkondo wa kwanza itakayofanyika uwanja wa KCB Sports Club Ruaraka
Mechi za ligi kuu ya Magongo kuchezwa
JUMLA ya mechi nane za ligi kuu na taifa za mpira wa magongo kwa wanaume na kina dada zanatarajiwa kusakatwa leo na kesho City Park jijini Nairobi na mjini Mombasa.

Kwenye mfululizo wa mechi za lig

Katiba mpya ya Leopards yaidhinishwa na wasajili
KATIBA mpya ya klabu ya AFC Leopards imeidhinishwa rasmi na afisi ya Vyama vya Kijamii.

Hii ni kufuatia mkutano maalum wa klabu hiyo uliofanyika Juni 27 ambapo wanachama walikubaliana kuhusu mabad

Thika yaitinga Red Berets 1-0
United FC iliibwaga Red Berets FC kwa bao 1-0 katika mechi ya Ligi Kuu ya Kenya (KPL) iliyochezwa Alhamisi katika uwanja wa Manispaa ya Thika. Mechi hiyo ilikuwa ngumu huku pande zote zikijitahidi k
Mechi za ligi ya FKL Kakamega kuachwa leo
Mechi za Ligi ya FKL ya kanda ya Kakamega Mashariki itaanza leo katika uwanja wa Khayega. Kwenye mechi hizo, Mukumu Power FC itakabiliana na Shipalo Corinthians huku Museno Youth ikivaana na Malimil
Wamethodisti mbioni
Wazee ambao ni waumini wa kanisa za Kimethodist leo wanatarajiwa kushiriki riadha za kuwania taji la Church Fellowship zinazoandaliwa katika uwanja wa CID Training South B, Nairobi.
Wazee hao wat
WAZEE WAAMBIWA WAACHE UGOMVI
RAIS Mwai Kibaki na Rais Mstaafu Daniel arap Moi wametakiwa waheshimiane kama wazee, na kuonywa kwamba majibizano yao hadharani huenda yakaigawanya nchi.

Mbunge wa Kuresoi, Bw Zakayo Che

Ajaribu kujiua kwa kuachwa
WANANCHI jana waliokoa mwanamke aliyepanda juu ya paa la baa mjini Kisii akiwa nusu uchi akitisha kujirusha chini.
Afungwa miaka mitatu kwa kuiba meza ya Sh800
HAKIMU Mwandamizi wa Nyando Bi Dorah Chepkwony amemfunga miaka mitatu gerezani mwanamume kwa kuiba meza ya thamani ya Sh800.
Bi Chepkwony alimtaja Bernard Alex Keya kuwa `jambazi jasiri' al
Tume ina hofu watu wanatoroka makwao
TUME ya Kitaifa ya Haki za Kibinadamu (KNCHR) imesisitiza kwamba watu wameanza kutoroka maeneo yao kutokana na vitisho vinavyohusiana na tofauti kuhusu Katiba inayopendekezwa.

Kwenye ripoti ya uchu

Wajiandaa kwa kura
Kiongozi wa baraza, eneo la Nessuit, Bw Paul Leswagei [kulia] asimamia zoezi la majaribio ya kura ya maamuzi ya katiba iliyopendekezwa ya tarehe Agosti 4 katika kituo cha biashara cha Nessuit jana. Wa
Polisi wamsaka mshukiwa wa utekaji magari nyara
POLISI wa mjini Nakuru wanamtafuta mwanamume aliyekwepa dhamana na kuendeleza uhalifu wake licha kusakwa na maa?sa wa usalama.

Yamkini Charles Chege alikuwa

amekamatwa kwa kuteka nyara gari m
Wito wasimamizi wafuate sheria
HAKIMU mwandamizi wa Chuka, Ngare Gesora, amewataka wasimamizi wa kura ya maamuzi katika eneo bunge la Nithi wafuate sheria wakati wa shughuli hiyo.
Alikuwa katika ukumbi wa walimu wa Thara
Awaonya wanaokosa mikutano
WALIMU wakuu wa shule za msingi wameonywa dhidi ya kukwepa mikutano ya kila mwaka.
Mkurugenzi wa elimu katika mkoa wa Kaskazini Mashariki, Bw Paschal Makite, alisema kuwa ni sharti walimu hao kuhud
Msifuate wanayosema bila kuyatafakari waziri
WAKENYA wamehimizwa kutowaamini wabunge wao bila kutafakari wanayosema kuhusu katiba inayopendekezwa.
Waziri msaidizi wa ardhi, Bw Bifwoli Wakoli, aliwaambia wakazi wa Cherangany kuisoma na
Starehe: Korti kuamua leo
MAHAKAMA inayosikiza kesi za uchaguzi itaamua leo ikiwa naibu wa Waziri wa Nyumba, Askofu Margaret Wanjiru, alishinda kiti cha Starehe kwa njia halali au la.

Jaji Paul Kariuki ataamua leo asubuhi i

Aliyebandika picha chafu akamatwa
SUSSEX, Uingereza: Polisi wanamsaka mwanamume ambaye alibandika posta zenye picha chafu za uume kwenye kuta na miti mjini hapa.

Picha hizo za uume uliofungwa ndani ya mkanda wa njano zilichapishwa

Wanawake wahofia usalama-Fida
SHIRIKA la Wanawake Wanasheria la Kenya (FIDA-Kenya), jana lilisema wanawake wana hofu kuhusu usalama wao na huenda wasishiriki kwa wingi katika Kura ya Maamuzi ya Agosti 4. Mwenyekiti wa shirika hilo
Wanawake 9 hufa kila siku kwa uavyaji
WANAWAKE tisa hufariki kila siku, na karibu 2,600 kila mwaka, kutokana na uavyaji mimba usiodhibitiwa.

Ili kukabiliana na hali hii, madaktari wa afya ya uzazi jana walisema wanaiunga mkono sheria i

Shamba lapata chet
SHAMBA la Nyeri Hill linalomilikiwa na jimbo la kanisa Katoliki la Nyeri limepokea cheti cha ubora cha UTZ kutokana na ubora wa kahawa yake. Cheti hicho cha "good inside" (ni bora ndani) hutolewa chin
Taabani kwa dai la `kuburudisha' mbwa
FLORIDA, Amerika: Huku idadi ya watu wanaopenda wanyama vipenzi ikiendelea kuongezeka wanaume watahitajika kuwa makini la sivyo wakione cha mtema kuni. Hili lilidhihirika katika kesi inayo
Abadili jina kuitwa `Buzz'
WEST BROMWICH, Uingereza: Mwanamume kwa jina Steve Bolton amebadili jina lake na kujiita Buzz Lightyear kusherehekea kutolewa kwa kanda ya kibonzo maarufu kwa jina Pixar's Toy Story 3.

Mwanamume hu

Papa wa tani 40 alipiza kisasi kwa wapenzi 2
CAPE TOWN (Afrika Kusini): Ikiwa ulidhani ni binadamu pekee ndio hulipiza kisasi umekosea kwani hata samaki huwa hawasahau wanapokosewa.

Hili lilidhihirika baada ya Papa mwenye uzani wa t

Tuepukane na uhasama kote
W akenya wanajiandaa kupiga kura ya iwapo wanataka katiba iliyopendekezwa tarehe 4 mwezi ujao wa Agosti.

Kwa sasa

Tujitahidi kumaliza uhalifu
TUNAYO historia ya kutochukua hatua madhubuti hata baada ya kupata ushahidi kamili katika uchun guzi kuhusu uhalifu wowote humu nchini. Huu ni mtindo mbovu ambao umetufanya k
Maslahi ya mtoto mvulana heri yalindwe
KWA KAWAIDA, jamii hujitolea kulinda maslahi ya kundi fulani la watu ambao wanonekana kuwa hatarini kupitia kwa kampeni mbalimbali. Kufikia sasa, jamii ya Wakenya imejiandikishia historia kwa kujitole
Shsss....Mtangazaji taabani
Ndoa ya mtangazaji maarufu wa Kiswahili imo kwenye njia panda baada ya kufumaniwa na mchumbake akitumbuiza kwingineko.

Kisa hiki kilichotokea siku chache zilizopita kilizua makabiliano baina ya mtu

Farida, mwanawe waondoka hospitali
Hatimaye malkia wa uimbaji, Princess Farida ameondoka hospitalini baada ya siku chache za matibabu.

Mwanawe Faridah aliyezaliwa kabla ya muda wake kutimia aliwekwa katika chumba maalumu cha watoto

Jay Dee awika Rwanda
Malkia wa Bongo Lady Jay Dee anajiandaa kufungua ukumbi wa burudani jijini Kigali, Rwanda.

Mdokezi wetu asema msanii amekuwa na mpango huo kwa muda wa miaka miwili iliyopita ambapo juzi aliwapeleka

Mandugu hatimaye arejea nchini
Bila shaka ni habari njema kwa waimbaji wa humu nchini. Produsa maarufu ambaye amekuwa akiwang'arisha wasanii wa bongo sasa yumo nchini kufungua studio.

Japo ni Mkenya, Ambrose Mandugu amekuwa akip

KASHESHE Msanii Wyclef Jean aonyesha nia yake kuwania urais Haiti
Mwimbaji maarufu wa mitindo ya hip hop, Wyclef Jean atagombea urais wa Haiti kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Wyclef ana ushawishi mkubwa sio tu katika taifa hilo lililokumbwa na mkasa wa tetemeko la ard

i MAWAIDHA YA KIISLAMU MASHEKHE WAHUBIRI AMANI, UTANGAMANO
BISMILLAHI Rahman Rahim.

Baada ya kumshukuru Allah (SWT), kama ilivyo ada, kaida na desturi za dini yetu tukufu ya Kiislamu, twachukua nafasi hii k

Namtafuta mchumba aliye na kazi
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25. Namtafuta mwanaume wa umri kati ya miaka 27 na 30 ambaye atakubali kuwa mchumba wake.
Hata hivyo, lazima awe na kazi nzuri na anajitegemea kimaisha. Barua
Nina wasiwasi hataachana na mienendo yake
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa makamo, na nina mke ambaye alitoka kwangu miaka miwili unusu iliyopita.
Shida zote za watoto ananiletea, tukiongea anataka turudiane. Nina wasi wasi kwamba tukimrudi
Sijui nilimtenda nini kwani hataki kurudi tena kwangu?
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20. Majuzi, nilirushana roho na kipusa mmoja wiki iliyopita.
Tulipomaliza akaniambia hatarudi tena kwangu kamwe. Nilipomuuliza hakunijibu. Na hivi sasa nikimpigi
Anataka nimuoe baada ya kumuacha mumewe
Nina mama wa watoto watano ambaye tulikuwa marafiki akiwa msichana. Ameachana na mumewe na ananinililia nimuoe na hana Ukimwi. Nishauri.
Kwani umeoa ama vipi? Kama bado na uko tayari kufanya hivyo
Simtaki lakini bado ananifuata
Mimi nina mchumba ambaye tumekuwa marafiki kwa muda mchache, lakini kwa hakika simtaki na simpendi kwa dhati. Tumejadiliana kwa muda kuhusu suala hili, lakini bado ananifuatafuata kila mara. Nikimwamb
Kipusa tuliyesakata ngoma mara moja, anasema mtoto ni wangu
Mimi nashangaa sana. Na hadi sasa siamini ninaumwa na kichwa kwa sababu nilikutana na msichana nisiyemjua naaye hanijui, lakini nilopomtupia ndoano, akaahidi atanipa vitu mwanzoni wa 2008. Kufikia Ago
Je, ni maradhi au ni kitu gani?
Kuna huyu kijana rafiki yangu sana.
Nikizungumza naye anapandwa na mori na kusimamisha mzigo wake.
Ananiambia akiona wanawake tu mzigo wake unasimama. Haya ni maradhi ama kitu gani? J.S. Ma lin
Sijui majina, lakini nampenda mmoja
Nina miaka 20. Nimetokea kumpenda msichana mmoja punde nilipokutana naye.
Nilimuomba ikiwa atapata nafasi tukazungumze na alikataa. Cha kushangaza ni kila nikipita karibu na kwao ananichungulia dir
Kuwa mke wa pili ni kosa?
NI LAZIMA KUONJA NJE KWANZA?
Nina umri wa miaka 22. Nina mchumba na sijawahi kufanya mapenzi. Je, ni ukweli kuwa ukiwa hujawahi kufanya mapenzi hutajua jinsi ya kumridhisha ama kuishi na mumeo? Ni
MOI NAYE AMGONGA KIBAKI
RAIS Mstaafu, Daniel Moi, jana alijibu vikali shutuma za Rais Mwai Kibaki kwamba anazunguka nchini akipotosha wananchi kuhusu Katiba Inayopendekezwa licha ya umri wake mkubwa.

Bw Moi alisema Rais K

Jela kwa kumpanda punda wa jirani yake
MWANAMUME aliyekiri kufanya mapenzi na punda wa jirani yake amefungwa jela miaka 14.

Stephen Kipkemoi Rono, mwenye umri wa miaka 30, alipewa adhabu hiyo na Mahakama ya Narok, baada ya kukiri `alip

Waliojisajili zaidi ya mara 1 kukiona
TUME huru ya muda ya uchaguzi (IIEC), itayakabidhi majina ya watu waliojisajili zaidi ya mara moja kwa polisi ili wakamatwe na kushtakiwa.

Vilevile, tume hiyo itawapiga marufuku wapiga kura hao ku

WITO WA AMANI
Makundi yahimizwa yalipe
AFISA wa Vijana Kwale Bw Philip Kasoe amehimiza makundi ya vijana yalipe pesa yalizokopishwa miaka miwili iliyopita.
Alisema kwamba kati ya Sh2m zilizokopwa 2007, ni asilimia mbili pekee
Waonywa kuhusu mazingira
WATENGEZAJI matofali katika Wilaya ya Kakamega walihimizwa wajaze mashimo wanayochimba wanapotafuta udongo wa kufanyia kazi yao hiyo.
Afisa wa mazingira wa Wilaya hiyo, Bw Vincent Mahiva, alisema n
Ombi wavuvi wasaidie kutambua walaghai
WAVUVi katika eneo la Nyanza Kusini wametakiwa waripoti wafanyibiashara walaghai wanaowapunja kwa kutumia mizani zenye hitilafu.
Afisa mkuu wa Mizani na Vipimo Bw Evans Muigai aliwataka w
Wasafiri wahangaika siku ya pili mfululizo Nyamira
USAFIRI wa umma ulitatizwa kwa siku ya pili jana wilayani Nyamira kufuatia msako wa magari mabovu.
Wasafiri walilazimika kukatiza safari zao huku wengine wakitembea mwendo mrefu, polisi wal
Atangaza shughuli za kuwaajiri walimu
8";*3*XB&MJNV 1SPG4BN0OHFSJ BMJ UBOHB[BLVXBTIVHIVMJZBLVBKJSJXBMJNV WJCBSVBJUBBO[BNBQFNBNXF[JVKBP "MJTFNB KVNMB ZB XBMJNV XBUBBKJSJXB OB XBUVNXF LVGVOEJTIB LBUJLB UBBTJTJ LBEIB LBCMB ZB TIVMF LV G
Ajinyakulia Sh500,000 shindanoni
.8&/:&UFLTJNUBBOJ 8FTUMBOET #X+PIO,BSJVLJ KBOBBMJKJOZBLVMJBEPOHFMB 4I LBUJLBTIJOEBOP MB4IJOEB4NBSU "LJXBNTIJOEJXB UBOHVTIJOEBOPMJBO[F BMJTFNBi/JMJBO[BLVDIF[B KVNBMBQJMJMBNXF[J XB+VOJOBOJLBXBOJ LJ
Raila rafiki wa watoto
'11%( %*# '%3/(%)%30+0+3 $1(!5xC;1 !)5 '0%' 03%0$1.% C)1 )"1,%'( 5'1!(!'!3*&3 !#!3%(/+*C&* 3 %*#(%$)%/$3 '10+'*51)*%'3'! .!*$ %)$(%) ,+$,'10&3%(% ,0!*"115$.' %$
Tahadhari imetolewa
3"55 1))3%(5*%)!*0% /'6%*%3)!3!'3 '0%'$(%50$ $.% '1"10%$+"1)$%* % 5*5+/$1'%3'13 */1)15 �0+4%* 5*01)%''10!*#!6 $*# �/3"55 ))C3 '/+* +.+'%C,%)!30 $ $.%/$3*53&% ,+)!5'%!*5!&%1* $.%6'1)%*%''13 $%5)$%*
Polisi wamsaka mlanguzi wa dawa za kulevya
1(#.%c (#$% 3%/$.5*#%*$%*% 1(#.%C*0"103*)�/ 3,+(%/% 5'13"*5 3'1(%)3'+*#3!3'16! *#%'%3 *#*5'13*% %*),55*5*5 (*#16%$15+3 36 '1(!25(%3(%,$C )+&33(%+$ %3*% %'+(%*.#+2/'CC)5! *'%(%3*'%"1*#+$ )%')%**
Watumia chupa kuunda mashua
1/0.(%c /$1 %(%5+1* 3'3'101)%)!("1 5$1,6,(/0%'%%(%0%**# '0%'* .%55 *!5C&* 5'1)(%6/".%5 )%!6%)%**!%(%5+*6)&%*%* .*%/+ /$1'3&%* (/0%'%C%(%1* 3'3'101)% $1,C6,(/0%'%".% 5'!51)(%3'%(+)%0 C%(%(!*#'1$)/%/$
Wameunda mtambo wa kuogesha mifugo
3! !*c*%(%/!) )%"1#+$3$%0&%1/� (%*+"1#&%*$%*% $,3)!1* )0)+ 3'1&%!* !/$3 '1+#!/$*#+)!*'1 $'%'%/$1/�3+&)+ 3*(+/!)(%0%).%/$ 10+&%3)6%3 0)+1(%+1* 3 *'),1*%5!xC; xC; 2(C 2 $1%).%/$10+&% (
mibabe
T UNAIKARABISHA ahadi ya Mkurugenzi mpya wa Tume ya Kupambana na Ufisadi ya Kenya (KACC), Dkt Patrick Lumumba, na manaibu wake Wakili Pravin Bowry an Profesa Jane Onson
Serikali iangalie uchumi wa jamii
Takriban watu 30 waliaga dunia kutokana na unywaji wa pombe haramu katika siku chache zilizopita zaidi ya ishirini wakiwa ni kutoka mtaa wa mabanda wa Kibera katika vitongoji vya jiji la Nairobi.

Sheria ya pombe pekee haitazuia vileo kuua
WAKENYA kamwe hawaeleweki.
Ni watu ambao licha ya kuumwa na nyoka hata wakimuona nyoka mwenyewe tena, hawashtuki.

Licha ya maafa ya mara kwa mara, muda haupiti kabla ya watu kufariki kutokana na

11 wauawa katika vita vya waasi na majeshi
RAIA 11 jana waliuawa katika mapigano kati ya wanamgambo wa Kiislamu na wanajeshi wa serikali katika mji huu mkuu.

Afisa mkuu wa shirika la huduma za dharura mjini hapa, Bw Ali Muse, alisema walio

Msimamo wa wazee
BAADHI ya wanasiasa wazee wa chama tawala cha CCM jana waliishauri serikali kurejesha mfumo wa siasa wa chama kimoja. Walidai kuwa mfumo wa vyama vingi ndio unaoleta mfarakano na vurugu visiwani Zanzi
Mfanyabiashara aachiliwa huru kwa shtaka la mauajii
MFANYA Biashara aliyeshtakiwa kwa kumuua dereva wa muekezaji katika sekta ya ujenzi aliachiliwa huru jana.

Jaji Mohammed Warsame alimwachilia Ali Ahmed Aboud Maalim baada ya kukaa katika gereza la

Jela miaka 10 kwa unajisi
Mwanaume aliyemnajisi mtoto wa miaka 14 jana alifungwa miaka 10 gerezani.
Samuel Muringa, 28, alipewa adhabu hiyo na Hakimu Mkuu Mkazi wa Kiambu, Bi Caroline Kabucho kwa shtaka alilotekeleza Machi
KATIBA Ajuza asoma kwa makini
AJUZA wa jamii ya Ogiek apitia nakala ya Katiba Inayopendekezwa katika kituo cha biashara cha Nesuit, wakati wa shughuli ya kuwahamasisha wananchi kuhusu yaliyomo katika katiba hiyo. Shughuli hiyo ili
Shtaka la mauaji lapunguzwa
Mahakama Kuu imepunguza shtaka la mauaji ya aliyempiga risasi mwanamke aliyekuwa akichunga mbuzi wilayani Samburu.

Leboo Lenaigero alikuwa ameshtakiwa na kosa hilo baada ya kusemekana alimuua Selina

Ajuta kuvunja nyumba, kuiba
Mahakama jana ilimfunga miaka tisa jela mwanamume aliyepatikana na hatia ya kuvunja nyumba ya wenyewe na kuiba mali.
Hakimu Mkuu Mwandamizi wa Limuru, Bi Mary Anne Murage, alimpata Jotham Kamau Kin
100,000 humathiriwa ne kilamwaka
na kusahau vyombo vya a mwanamke ni mambo vyake vya uzazi." alisema wa ripoti hiyo ya Shirika adamu (Human Rights fistula, "I Am Not dead : Barriers to Fistula Prent in Kenya.
yarishwa na mt
Nifanyeje niweze kuwaona wanangu walio na baba yao?
Hivi majuzi, nilitengana na mume wangu kwa sababu amekuwa akinidhulumu kwa kunichapa. Nilikuwa nikikaa nyumbani nikilea watoto kwa sababu alinikataza kufanya kazi. Hivyo basi, sina mbinu yoyote ya kuj
SHERIA ULIZA SWALI LAKO LA KISHERIA JE, una swali kuhusu sheria za kijamii ungetaka ujibiwe na wakala Lenson Njogu wa kituo cha Legal Resource Foundation?
Tuandikie swali lako kwa 6003 ukianza na neno SHERIA au tutumie barua pepe kwa taifa@nation.co.ke

Nikimwona, chombo chasimama
NINA umri wa miaka 32. Kuna kipusa mmoja alinionjesha tunda mara moja. Kila nikimwona chombo kinasimama saa moja hivi.
J.M. Kanamai.
Kupitia sms Kawaida akili yako ndio inatakiwa iongoze mwili.
Shangazi nakuwaza kila uchao
UMRI wangu ni miaka 27. Uraibu wangu ni kukusoma wewe gazetini. Hadi sijiwezi tena mtoto wa kiume. Kila nifanyacho nakuwaza wewe. Naishi bila raha sababu yako. Nisaidie.
Naishi Mtwapa.
Kupitia s
Je, kutafuna miraa kila siku ni hatari?
JE, miraa ama `muguka' vyaweza kuathiri kizazi changu? Mimi nilioa mwezi wa tatu mwaka huu. Naishi Nairobi,naye mke wangu anaishi mashambani. Huwa tunaonana baada ya miezi miwili na tunarushana ro
Namimina haraka haraka mpaka anakosa kuridhika
MBONA simridhishi mke wangu kimapenzi? Kwani namaliza haraka na ninamuacha akiwa na mori.
Nifanyeje kutatua shida hii?
Ndung'u, Kiambu.
Kupitia sms Kaka, inabidi ujifunze jinsi ya kujizuia ku
Wanawake pia wana uwezo wa kufyatua
SHANGAZI, wanawake pia wanao uwezo wa kufyatua wakifika kilele. Kwa kimombo inaitwa `squirting' na ni jambo la kawaida.
Gregory Kupitia sms Nimefanya utafiti kuhusu suala hili na nilichofahamu ni k
Msichana ananipiga chenga
NINA miaka 19. Nina msichana nimpendaye kuliko navyojipenda.
Lakini anipiga chenga sana, nami sitaki kumuacha.
M. Ugwaru.
Kupitia sms Unahitaji kukomaa zaidi ili kuelewa masuala ya mahaba. Kw
Nampenda wa pembeni, nishauri
NIMEOLEWA kwa muda wa miaka 10 iliyopita. Kati ya miaka hiyo nimekuwa na uhusiano na mwanaume mwingine kwa muda wa miaka 6 iliyopita. Nampenda huyu mwanaume kuliko mume wangu. Nisaidie.
Kupitia sms
Nampenda kwa dhati sitaki kumuacha lakini simuelewi
MIMI ni msichana wa umri wa miaka 19. Ninaye mpenzi na ninampenda sana. Ajabu lakini haniamini.
Jumapili moja nilisahau kufungua simu hivyo hatukuwasiliana. Kesho yake nikapata sms ya matusi akidai
RUTO SASA AMTETEA MOI
VIONGOZI wa mrengo wa `LA' jana walimtetea vikali Rais Mstaafu Daniel arap Moi dhidi ya shutuma kuhusu kushiriki kwake katika kampeni za kupinga Katiba Inayopendekezwa.

Wakiongozwa na Waziri wa Eli

Wahalifu wapora abiria katika basi
POLISI wa Naivasha wanachunguza kisa ambapo basi lilitekwa nyara na abiria wakaibiwa kwa mabavu na wahalifu waliokuwa na bunduki.

Wakati huo huo, msako mkubwa ulifanywa jana baada ya mtalii wa hu

`Waliochochea fujo wanyongwe'
WALIOCHOCHEA ghasia za baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2007 wanapaswa kuhukumiwa kifo, kitabu kinapendekeza.

Kitabu hicho, Tensions and Reversals Democratic Transitions -The Kenya 2007 General Elections,

Polisi aliyeua kunyongwa
ASKARI polisi aliyepiga mwenzake risasi akamuua miaka 10 iliyopita alihukumiwa kifo jana.

Inspekta Philip Kipng'etich Terer, alimpiga risasi na kumwua mkubwa wake, Bw Michael Muthee Kigundu, katika

Sh1.5 milioni zaenda Ruiru na Murang'a
WANAUME wawili jana waliponyoka na jumla ya Sh1.5 katika shindano linaloendelea la Shinda Smart 6969. BW Daniel Murimi Wanjuhi kutoka Ruiru jana alitangazwa mshindi wa nane wa Sh1 milioni, naye Bw Geo
VITUKO UGHAIBUNI Nyangumi abisha hodi mahali asikotakikana
CAPE TOWN, Afrika Kusini WACHUMBA waliokuwa wakibarizi baharini kwa mashua yao walishangaa nyangumi mwenye uzito wa tani 40 aliporuka na kuanguka ndani ya mashua yao.

Ralph Mothes, 59, na Paloma We

Maumbile yake kama tumbili yamempa kazi
BEIJING, China UKIKUTANA naye utadhani ni tumbili aliyetoroka mbugani.

Lakini Yu Zhenhuan ni mwanamume wa kawaida ila tu ana nywele nyiongi mwilini kuliko mtu mwingine yeyote kati ya raia zaidi ya

Mbu akatiza kipindi cha televisheni
TAIPEI, Taiwan MTANGAZAJI wa televisheni hapa alinyongwa na mbu aliyeingia ndani ya koo lake akitangaza moja kwa moja.

Huang Ching alikuwa akitangaza habari katika kipindi cha moja kwa moja mbu ali

Waziri adai majambazi walivamia afisi yake
WAZIRI wa Mipango Maalum, Dkt Naomi Shaaban, jana alisema a?si zake katika eneo Bunge la Taveta zilivamiwa na majambazi ambao waliharibu mali ya thamani kubwa.

Waziri alisema shambulizi hilo lililo

Msikubali uongo, Kibaki ashauri
RAIS Mwai Kibaki jana alitoa wito kwa wananchi wasipotoshwe na watu aliosema wanaeneza uongo kuhusu katiba inayopendekezwa ili isipitishwe.

Rais Kibaki alisema katiba hiyo ni njema na itaashiria mw

Vijana 20 kushirikiana na polisi kukomesha uhalifu
MAAFISA wa utawala wilayani Thika Magharibi wamewaidhinisha vijana 20 wenye tabia nzuri wawe wakipiga doria usiku kwa ushirikiano na polisi.
Hatua hiyo ilichukuliwa kufuatia kuongezeka kw
Wakazi wahakikishiwa usalama
KAMANDA wa polisi mkoani Nyanza, Bw Njagi Njue, amewaonya wahalifu kuwa siku zao zinahesabiwa.
Alisema jana mjini Kisumu kwamba usalama umeimarishwa kwa watakaohudhuria maonyesho ya Kisumu.
Ana hofu mikutano itavurugwa
WATU wanaounga mkono katiba inayopendekezwa katika mjini Eldoret wanadai kuhangaishwa.
Kupitia Bw Richard Kemboi, wafuasi hao wa `Ndiyo' walidai mwanasiasa wa sehemu hiyo aliye upande wa `La' amepa
Baraza laombwa liondoe mbwa koko katika mitaa
WAKAZI mjini Embu wamelitaka baraza la manispaa likabiliane na mbwa wanaorandaranda.
Wakizungumza na wanahabari mjini humo jana, wakazi walisema kumeibuka mbwa wengi wasiokuwa na wenyewe, j
Adai mashirika yanaeneza uvumi kuwa kuna taharuki
MASHIRIKA ya kijamii yanayohudumu Kaskazini mwa Rift Valley yamekashifiwa kwa kueneza uongo kuhusiana na taharuki katika eneo hilo.
Afisa wa shirika la Peace Ambassadors Bi Rose Kisamba,
Mwendeshaji mlevi atua kwenye paa la nyumba
ALASSIO, Italia MOJA ya sheria za tra?ki ni kuwa mtu asiendeshe akiwa mlevi.

Ukiukaji wa sheria hii ulimtia mashakani dereva ambaye mwishowe alijipata juu ya paa la nyumba pamoja na gari lake.

Ufisadi: Muhimu si mkurugenzi bali maadili
NI JAMBO la kutia moyo kwamba hatimaye Tume ya Kupambana na U?sadi kenya (KACC) imepata mkurugenzi mpya ambaye ni Dkt Patrick L. O. Lumumba.

Hata hivyo, kuna umuhimu wa Wakenya kujua kwamba kitakac

Tusiwahi kurejea kwa fujo za 2008
Ni jambo la kutia moyo kwamba, vyombo vyote vya usalama vimo kwenye hali ya tahadhari, huku nchi hii ikikaribia kuandaa Kura ya Maoni mapema mwezi ujao. Taarifa ya Kam
Tafiti zifuate kanuni za Sayansi
SABABU kuu ya kufanya utafiti huwa kusaidia wadau katika shughuli au sekta fulani.

Utafiti kuhusu maoni ya wananchi katika uchaguzi au kura ya maoni hunuiwa kuwaongoza wa

Akiri kuwa aliiba katika kituo cha polisi
MAHAKAMA jana iliagiza mwanamume aliyejifanya shujaa kwa kuiba koti kutoka kituo cha polisi cha Central ahojiwe na a?sa wa kurekebisha tabia kabla ya hatima yake kuamuliwa.

Hakimu Mkazi wa Nairobi

Warembo waipigia debe katiba
WANAWAKE wachanga wanapaswa kujitokeza kwa wingi kuunga mkono Katiba Inayopendekezwa wakati wa kura ya maamuzi itakayofanyika wiki ijayo kwani itawafaa zaidi.

Vuguvugu la wanawake wachanga liitwalo

3 wakanusha kuuza mihadarati gerezani
WATU waliokamatwa kwa madai walikwenda kuwauzia wafungwa dawa za kulevya katika gereza Kuu la Kamiti jana walishtakiwa.

Zakayo Gitonga Njue, Emily Mutakale na Brigit Akubania walifikishwa mb

KIZIMBANI
SOGA soga Raila amwaga chozi la mamba mbele ya `walioteswa na Moi'
RAILA akalia! Kwa nini? Kwa kukumbuka mateso ambayo alipitia mikononi mwa makachero wa Moi.

Msomaji, inasemekana aya fupi zaidi katika Biblia ni "Yesu akalia". "Yesu akalia".

Sina jinsi ny

dawa kwa jicho la nje?
mhadhiri wa somo la Saikolojia katika Chuo Kikuu cha USIU, Nairobi anasema kuwa usajili wa simu ni jambo moja lakini 'usajili' wa wanandoa kuaminiana kila mara ni jambo jingine.

"Kuna njia nyingi s

Fataki Sura na ngozi laini ya vipusa isikuteke, ni shida tupu!
HAKUNA ubishi kwamba visura chipukizi wanavutia. Kutokana na miili yao mibichi na ngozi laini ambazo hazijaparara, bila shaka ni viumbe ambao kila mwanamume angependa kumpata. Waume wengi washawaza ku
Waume wa leo ni kama mtu-mwitu!
DADA zangu msiwe na haraka ya kuolewa. Hata mkipitwa na treni, mshukuru Mungu hamkujitia kitanzi zizini wanamoishi kaka zetu. Shukuru hamkuchinjwa mkiona, hamkuzeeshwa kabla hata ya kuonja na kufurahi
Gwiji Wetu AMEKUWA KI WANAOTOROK
WA kipindi cha mwongo mmoja sasa, Bi Deborah Katina amekuwa akihamasisha jamii ya Wapokot kuhusu umuhimu wa kutema mila na desturi zilizopitwa na wakati.

Juhudi zake zimetambuliwa na mashirika tofa

AMEKUUWA KIMBILIO NA TUMAINI LA WANAOTORAI KA UKEKETAJI MKOANI
hurudisha nyuma maendeleo na kuwanyima fursa ya kujikwamua.
Swali: Ni vitendo vipi vinavyotendewa wasichana na kuwanyima fursa ya kujikuza kielimu katika jamii unayohudumia?
Jibu: Ukeketaji wa w
Inasikitisha kutemwa siku ya harusi yako
KATI ya mambo yote ambayo yanaweza kusababisha maradhi ya moyo, nadhani ni kuachwa na mchumba siku ya harusi.
Nahisi uchungu aliohisi Nica, kwenye makala ya Julai 21, 2010 ya Benson Matheka yaliyok
Wivu na fitina tisho kwa mapenzi
NATAKA kugusia maelezo ya Fatuma katika safu ya Fataki (Julai 14, 2010) iliyokuwa na kichwa "Uchochole wako usikunyime penzi la mrembo".
Ni kweli kabisa alivyosema, kwa vile hata mimi mwenyewe nish
Fahari kuma mume
HEKO kwa mwandishi Fatuma kwa mchango wake katika safu ya Fataki hasa ya wiki jana iliyokuwa na mada "Fahari ya kuumbwa mwanamume katika jamii yetu". Maumbile ya mwanaume ni bora kwa kila jambo, hata
Vyema anakumbuka alikotoka
PONGEZI zangu ziende kwa Bw Michael Nyundo msamaria mwema wa mayatima huko Bombolulu aliyeangaziwa kwenye makala ya Gwiji wetu.
Wengi wa watu waliozaliwa maskini na kutajirika baadaye husahau wal
Haridhiki hadi nizame ndani
Ulisema utamu wa tunda uko juu. Mimi nimefanya utafiti wangu, kila niburudikaye naye anataka nipachike ndani hadi niguse kitu huko mwisho ndio ahisi raha.
Said, UK, Kupitia sms Maumbile ya wasichan
Anasisitiza amenye tunda kabla ya ndoa
Mimi ni msichana wa umri wa miaka 25.
Kuna mwanaume wa umri wa miaka 37.
Ana mke na watoto na pia ana uwezo.
Nami nampenda sana, naye anipendana anataka kunioa. Lakini anasema hadi amenye tu
Imani zetu za kidini ni tofauti
Ninaye msichana ambaye nampenda lakini ni Muislam nami ni Mkristo. Ameniahidi nimuoe. Nishauri.
Kupitia sms Masuala ya dini huwa nyeti mno kwenye uhusiano.
Inabidi muwe na msimamo mmoja na muwe
Aliniacha, nikaoa, sasa anataka kurudi kwangu
Mimi ni mwanaume wa umri wa miaka 30. Nilioa mke na tukazaa naye watoto wawili. Halafu akaniacha miaka miwili. Akaenda kazi ya nyumbani huko Eldoret.
Sasa anataka kurudi kwangu nami nina mke mwingi
Punyeto imekuwa ni kawaida kwangu, je naweza kudhurika?
Nina miaka 34. Ninafanya punyeto sana. Kitendo hiki kinaweza kunidhuru kiafya?
Vincent. Kupitia sms Sijawahi kusikia madhara ya kujichua. Lakini tabia hii inaweza kukuathiri kisaikolojia kwa kukufa
Mke ni bwege, husubiri hadi nibandue maganda
Mimi nimeoa. Lakini wakati wa kurushana roho hata nimlainishe vipi hawezi kutoa nguo ya ndani. Hadi mimi nimvue hiyo nguo. Naona ananifanya bwege.
Kupitia sms Mapenzi huwa hayana utaratibu maalum.
Nashuku mtoto si wangu
Nimeokoka. Nilikuwa na msichana ambaye alikuwa ananipenda sana. Lakini mimi sikuwa nampenda.
Tulipofanya mapenzi naye niligundua kwamba alikuwa na mpenzi mwingine. Nikakataa mtoto sababu sikujua uk
Ingawa aliniambia kuwa hanitaki, nasongwa na mawazo kumhusu
Mimi ni mvulana wa umri wa miaka 18. Nilikuwa na mpenzi katika shule niliyokuwa nasoma. Aliporudi likizo aliniambia kila mtu akae kivyake.
Mimi nampenda sana na sasa mawazo yamenisonga. Ingawa sasa
Napenda mke wa mwenyewe
Asante nimepata jibu lako shangazi.
Lakini nampenda na ni mke wa mtu na sina la kufanya. Naye ananisumbua anasema ananipenda. Nipe suluhisho.

Kupitia sms Suluhisho unalo wewe kakangu.

Kwani ni

Tofauti ya aina ya penzi ni ipi?
Mimi ni kijana mgeni wa mapenzi. Naomba unieleze tofauti ya kupenda kivitendo na kupenda kimaneno. Hasa kivitendo hata kama ni kwa ufupi.
Kupitia sms Kupenda kimaneno, ni kusema tu nakupenda, nakuj
Mashindano ya nyika mwakani
BARA hili limezindua Riadha za Nyika za Afrika na zitafanyika kwa mara ya kwanza nchini Afrika Kusini mwaka ujao. Baraza la Mikutano ya Chama cha Riadha Afrika (AAC) lilipitisha hayo jana kwenye vikao
Kinara wa shirikisho kuanzisha riadha leo
RAIS wa Shirikisho la Riadha la Kimataifa (IAAF), Lamine Diack, atafungua rasmi Riadha za Afrika kwenye sherehe ya ufunguzi itakayoanza saa sita adhuhuru katika uwanja wa Nyayo. Waziri wa Michezo Hell
Watagombea mataji ya fani 20 uwananji
FANI 20 kwenye LORTIONS Riadha niatisl za estrud Afrika zinazofungua molut utet wisi. wLormilango leo saa tatu auguero dolor adio uwanjani
Kamati kuu itapokea msaada wa Sh3.5m
KAMATI inayoandaa Riadha za Afrika (IOC) imepigwa jeki kifedha baada ya kampuni ya New KCC kutoa udhamini wa maji yenye thamani ya Sh3.5 milioni yatakayonywewa wakati wa mashindano huku kampuni ya EAB
Mshindi mita 10,000 barani kujulikana leo
HAKUNA shindano linalosubiriwa leo zaidi ya mbio za mita 10,000 za wanaume zinazoingia hatua ya fainali jioni.

Kutokuwepo kwa bingwa mtetezi katika mita 5000, Kenenisa Bekele, kumewapa Wakenya mot

Rudisha ana kibarua kigumu na Mulaudzi
DAVID Rudisha (pichani) ana mwamba wa kukabiliana naye kwenye mita 800 zinazong'oa nanga leo raundi ya kwanza.

Baada ya kujiondoa kwa hasimu mkuu Abubaker Kaki wa Sudan, Rudisha, bingwa wa Afrika

POMBE YAUA WENGINE 17
WATU 17 walithibitshwa kufa jana na wengine zaidi ya 16 wakapofuka baada ya kunywa pombe haramu wikendi katika mtaa wa mabanda wa Kibera, Nairobi.

Walionusurika kifo, ambao walipata fursa ya kuong

Makao ya mrengo wa `LA' yavamiwa
WATU wasiojulikana, mnamo usiku wa Jumapili, walivunja na kuingia katika afisi za Kamati Kuu ya Mrengo wa "La" kuhusu Katiba na kuiba kompyuta na bidhaa zingine za thamani ya zaidi
Wizara yaitikia kilio cha wakazi kuhusu daraja
WAKAZI katika mtaa wa mabanda wa Maasai Village, Nairobi wamepata afueni kufuatia hatua ya Wizara ya Barabara kuwajengea kivukio. Ujenzi huo umeanzishwa baada ya Taifa Leo kuchapisha picha i
Abiria wanusurika kwa tundu la sindano ajalini
ABIRIA 11 walinusurika kifo jana asubuhi matatu waliyokuwa wakisafiria ilipogongana ana kwa ana na lori katika eneo la Ngarariga, tarafa ya Limuru, barabara kuu ya NakuruNairobi.
Kamanda
Lumumba aapa kunasa `nyangumi' wa ufisadi
MKURUGENZI mpya wa Tume ya Kupambana na U?sadi ya Kenya (KACC), Dkt Patrick Lumumba, ameahidi kushirikiana na jamii ya kimataifa kurejesha mabilioni ya pesa za u?sadi zilizo?chwa nje ya nchi.

Dkt L

Wasiwasi tele katika kiwanda cha chai
HALI ya wasiwasi imetanda wilayani Githunguri kutokana na vitisho vya wakulima kwamba watavamia wasimamizi wa kiwanda cha majani chai wanaosaka wachuuzi wa zao hilo.

Wakiongea na Taifa Leo, wakulim

Wavamia na kuiba mifugo
WEZI 30 wa mifugo waliokuwa na silaha walivamia kijiji wilayani Igembe Kaskazini na kuiba ng'ombe 346 na mbuzi 30.

Wavamizi hao, wanaoaminika kutoka Samburu, walivamia kijiji cha Mea, eneo la malis

Nyama choma kwa wageni!
MHUDUMU wa hoteli ya Outspan, mjini Nyeri, akiwakaribisha kwa nyama choma watalii China waliotembelea hoteli hiyo jana.

Biashara katika hoteli za humu nchini imeanza kupamba moto wakati huu ambapo

Anaswa na tumbili 18 chini ya shati lake
Mexico MWANAMUME mjini hapa amenaswa akiwa ame?cha tumbili 18 chini ya shati alilokuwa amevaa.

Roberto Cabrera,38, alitua katika uwanja wa ndege wa Mexico City kutoka Lima, Peru, na maa?sa wa poli

Barua yenye bangi yazua maswali tele!
Mwanamke mkongwe alipigwa na butwaa baada ya kupokea kifurushi kilichokuwa na bangi iliokuwa imefungwa ndani ya barua.

Ajuza huyo aliwaita polisi lakini wakashindwa kumtambua aliyekuwa ametuma kifu

Tamaa ya mkate yamweka mama kwenye balaa
MWANAMKE alishangaza wauzaji wa duka la vitumbua alipoficha kitumbua ndani ya suruali ili apewe kingine bila malipo.

Lori Shannon Turner, 39, aliingia katika duka la vitumbua la McDonalds na kuagi

Polisi wachukua hatua kuzima hofua Molo
mjini Nakuru wamewahakikishia wakazi wa Nde?o wilayani Njoro kuwa uvamizi ambao ulipelekea mkulima mmoja kudungwa mishale hauna uhusiano wowote na kampeni za katiba inayopendekezwa.

Wakati huo huo

Wakulima watarajia mazao bora
ONGEZEKO la mahindi linalotarajiwa mwaka huu litapunguza bei ya bidhaa hiyo.

Kinyume na mwaka jana ambapo zao ili liliathiriwa mvua kuchelewa, mwaka huu wakulima walisema mvua imekuwa ya kutosha na

Wakazi wahimizwa kuunga mkono katiba ili wanufaike
KATIBU wa Wizara ya Utamaduni na Turathi za Kitaifa, Bw Jacob Ole Miaron amewashauri wakazi wa Transmara waunge mkono Katiba Inayopendekezwa.
Bw Miaron, aliyeongoza wasomi kutoka jamii ya
Skauti kupanda miti 20,000 nchini
MASKAUTI zaidi ya 1600 kutoka kote ulimwenguni watapanda miti zaidi ya milioni 20 hapa Kenya kuanzia kesho hadi Agosti 8.
Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa kongamano la maskauti duniani, Bw G
Serikali isikubali uhasama uenee
HUKU zikisalia siku sita tu kabla kupiga kura ya maamuzi kuhusu katiba inayopendekezwa, kampeni za kupigia debe na kuipinga zimepamba moto.

Pande za `Ndiyo' na

Biashara haramu izimwe mipakani
KWA zaidi ya miongo minne tangu tujinyakulie Uhuru, ustawi wa uchumi wa Kenya umeathirika kutokana na ulanguzi na biashara haramu kupitia kwa mipaka yetu na mataifa jiran
Katiba: Vijana washughulikiwe kwa vitendo
UNAPOISOMA Katiba inayopendekewa ambayo itapigiwa kura mnamo Agosti 4, unavutiwa na mambo kadha mazuri yaliyomo ndani yake.

Miongoni mwa mambo hayo ni suala la kujali maslahi ya vijana.<

Waziri wa zamani akana kulaghai mali
ALIYEKUWA Waziri, Bw Noah Katana Ngala jana alikanusha mashtaka manne ya ulaghai wa nyumba rasmi ya Meya wa jiji la Nairobi.

Mbunge huyo wa zamani wa Ganze ali?kishwa kortini pamoja na Bw

Has
`Wawindaji' washtuka
WATU wanne walioshtakiwa kwa uwindaji haramu walishtuka walipoagizwa na mahakama ya Nyeri watoe Sh1 milioni pesa taslimu kila mmoja ili waachiliwe kwa dhamana.

Mabw Paul Mwangi, David Ndirangu

SOGA soga Mbona siku hizi hatusikii Agwambo akitoa malalamiko?
MBONA sasa Raila halilii choo?
Udhika ukitaka, lakini lazima nilulize tena: mbona Waziri Mkuu wa Kenya aliyeteta kuhusu ukosefu wa heshima, choo na MBONA sasa Raila halilii choo? Udhika uk
Mshukiwa wa ulanguzi wa dawa aangua kilio kortini
MSICHANA ambaye ni raia wa Afrika Kusini alibubujikwa machozi kizimbani akidai alidanganywa na raia wa Nigeria kubeba dawa za kulevya.

Lebogang Mainah Sibanda alimwambia Hakimu Mwandamizi Mkuu wa K

Sheria yamweka kizimbani
Aliyekuwa waziri, Bw Noah Katana Ngala akiwa kizimbani katika mahakama ya Nairobi jana, alipofunguliwa mashtaka manne ya wizi wa nyumba rasmi ya meya wa Nairobi.

Ilidaiwa kuwa Bw Ngala alitekeleza

e kujibwaga kwenye ulingo wa injili
ni wiki chache tu kabla ya Kanda kuitwa baba.

Juhudi za kumfikia mwimbaji kwa simu hazikufaulu kwani hakuijibu. Kanda awali alifahamika kama Kanda Kid kabla ya kufuzu na kuwa Kanda King. Dadake m

Ukoo mzima umelaaniwa
NI mambo gani unastahili kujua ukitaka kuoa au kuolewa. Kwa mfano, mimi sijasoma, nimetoa mimba mara tano, kwetu tulilaaniwa, wazazi wangu ni walevi. Kupitia sms He, dada huo mzigo wote umebeba mabega
Ni kweli mjamzito huchukia unyumba?
Nauliza iwapo ni kweli mwanamke akiwa na mimba anachukia unyumba? K. Babadogo.
Kupitia sms Wanawake wote hutofautiana wanapokuwa wajawazito. Wapo wale wanaochukia unyumba na wapo wale wanaodai wapa
Msambazie Jane nambari yangu ya simu
TAFADHALI msambazie nambari yangu Jane wa Nyeri. Kupitia sms Kusema ukweli hilo siwezi. Lakini kama unayo barua pepe tuletee na tutaipeperusha.

HUWA HAWEKI HASIRA MIMI ni mama wa mtoto mmo ja.

Aambia wenzake mimi ni Mary ilhali naitwa Susan
NINA mpenzi na simuelewi kwani hajanionyesha kwa watu wao. Tulienda kwa kaka yake kuchukua funguo akaniacha nje. Tukaenda matembezini na rafiki zake akanitambulisha kama naitwa Mary wakati jina langu
Baada ya ngoma, jogoo hukoroma, ni kawaida?
MIMI ni mvulana wa umri wa miaka 20. Nilipobalehe nilikuwa nikijichua. Sikuwa na mpenzi.
Nilipotimiza miaka 19 nilipata msichana lakini shida ikawa nikimaliza awamu moja, jogoo linalala usingizi. S
Hanipi pesa, ataka ngoma tu
NAITWA Rose. Nina mpenzi nimpendaye sana. Shida yake ni kwamba hanisaidii pesa. Ananisaidia tu na mapenzi. Nifanyeje ili aweze kunisaidia na pesa? Kupitia sms Dada mapenzi sio pesa. Na unapompenda mtu
Mpenzi wangu ni mhanyaji
MIMI ni kijana wa umri wa miaka 20. Nina rafiki wa kike anayependa kuhanya. Nifanyeje shangazi.
Julius, Murang'a.

Kupitia sms Ungependa nikusaidiaje hasa kaka? Maana kama umejua msichana ni mh

Nilimfumania akila fuska na mwingine
Mimi ni barobaro wa umri wa miaka 16. Tatizo langu ni kuwa, nina msichana wangu ambaye nilimkuta peupe na kijana mwingine. Nifanyeje? Nisaidie. Kupitia sms Iwapo ulimfumania msichana, maana yake ni kw
Mwenzangu ana msururu wa vidosho
Umri wangu ni miaka 21. Nina mpenzi nampenda lakini ana wasichana wengi. Naomba unisaidie.
Kupitia sms Dada, kama huyo mwanaume ana wasichana wengi, huogopi kuambukiwa magonjwa hatari?
Tafadhali
UHURU!
BILA RAILA, SAUTI TOSHA
MRENGO wa `NDIYO' umezua mbinu ya kipekee katika kampeni zake ili kuziba pengo ambalo limeachwa na Waziri Mkuu Raila Odinga, ambaye amepumzika kwa maagizo ya daktari.

Baadhi ya viongozi katika se

Mkasa wa moto waacha watu 300 bila makao
WAKAZI zaidi ya 300 walikesha nje kwenye baridi baada ya moto kuteketeza nyumba zaidi ya 100 mwishoni mwa wiki. Kisa hicho kilitokea kwenye mtaa wa mabanda wa Mukuru-Fuata Nyayo, Nairobi. Du
WAZEE HUKUMBUKA
Jamii ya Wateso yakubali kula kisu
WAVULANA na wanaume zaidi ya 600 wamepashwa tohara wilayani Teso katika muda wa wiki tatu zilizopita.

Mshirikishi wa kampeni ya kukabiliana na Ukimwi eneo hilo, Bw Nelson Andanje alisema wengi wa w

Kamanda atoa hakikisho la usalama wakati wa kura
KAMANDA wa kikosi cha Polisi wa Utawala (AP), Bw Kinuthia Mbugua, amesema Serikali imeweka mikakati ya kulinda wananchi kabla na baada ya kura ya maamuzi.

Mbugua alisema kuwa mipango walio

na
Viongozi wa Wamasai kukutana
KUNDI la 'Ndio' kuhusu katiba inayopendekezwa linapanga kukutana katika eneo la Suswa, Narok.

Waziri wa Usalama, Profesa George Saitoti alisema mkutano huo utahudhuriwa na viongozi wa Kimaasai hapo

Waziri ataka silaha zote zitwaliwe
WAZIRI wa Ustawi wa Mifugo, Dkt Mohamed Kuti, ameiomba serikali kuimarisha upokonyaji wa silaha haramu katika mkoa wa Rift Valley ili kupunguza visa vya wizi wa mifugo wilayani Isiolo.

Alisema kuwa

Sheria kuhusu mimba imetoka kwa katiba za makanisa Gitari
KATIBA Inayopendekezwa imekopa mengi kutoka kwa katiba za makanisa makuu yanayoipinga, Askofu Mkuu (Mstaafu) wa Kanisa la Kiangilikana, David Gitari, alisema jana.

Askofu Gitari alisema kilichokop

Mwanaume aliyejaribu `kumpanda' punda seli
MWANAMUME anazuiliwa na polisi baada ya kufumaniwa akimdhulumu kimapenzi punda wa jirani katika kijiji cha Katama, wilayani Narok Kusini.

Mshukiwa, ambaye ana umri wa miaka 30 alifumaniwa usiku wa

Sababu yao ya kusema `NDIYO' au `LA'
MATOKEO ya ta?ti mbalimbali za hivi punde kuhusu Katiba Inayopendekezwa zinaendelea kuzua mjadala mkali miongoni mwa Wakenya, huku baadhi yao wakiyaamini na wengine kuyataja kuwa yasiyo na ukweli wowo
Wadhifa mpy na ngoma ya kusisimua!
BILA shaka, Bw Patrice Lumumba alikuwa kila sababu ya kuimba na kucheza ngoma kwani ndiye Mkurugenzi mpya wa Tume ya Kupambana na U?sadi Kenya (KACC).

Hapa alikuwa akisherehekea pamoja na watoto wa

Walimu 3 wasakwa WALIMU watatu wana
WALIMU watatu wanachunguzwa na kitengo cha nidhamu cha Tume ya Kuajiri Walimu (TSC) kwa utovu wa kinidhamu.

Mmoja wa wao, ambaye ni anafunza katika shule ya msingi wilayani Murang'a anachunguzwa kw

Tume imekuwa jibwa kibogoyo
Tume ya Uwiano na Ufungamano wa Kitaifa (NCIC) inaweza kufananishwa na jibwa linalobweka ilhali halina meno ya kung'ata. Hakika, tume hiyo, inayoongozwa na Dkt Mzalendo Kibu
Wenye kuandamana walindwe
K IKATIBA, kila Mkenya ana haki ya kuandaa na kushiriki katika maandamano.

Haki hiyo ya kimsingi inapatikana katika Katiba ya sasa na hata katika Katiba Inayopendekezwa

Utafiti utumiwe kuangamiza Malaria nchini
KWA miaka mingi sasa, ugonjwa wa malaria umekuwa ukiangamiza maelfu ya Wakenya kila mwaka.

Barani Afrika, inakadiriwa watu milioni moja hufariki kila mwaka kutokana na malaria, wakiwa wengi kuliko

Kandanda Mibabe wa ligi maarufu zaidi duniani
LIGI Kuu ya Uingereza imekuwa maarufu miongoni mwa mashabiki wa soka nchini na duniani kote.

Kinyang'anyiro hiki kinachong'oa nanga mwezi ujao kinashirikisha jumla ya timu 20.

Mbal

Vituko vya hapa na pale na Hez Wepukhulu Makocha walazimishwa kuapa kukabili ushoga
MAKOCHA wa timu za kandanda nchini Uganda wameagizwa kuweka sahihi fomu wakiapa kuwa hawatajihusisha kwenye ushoga na wachezaji wao.
Hata kocha wa timu ya taifa hilo ya Uganda Cranes, Bobby William
Shangagi Sigarina Simpendi mke wangu tena
Mimi ni mwanaume wa umri wa miaka 25. Nina mke na watoto wawili. Hivi sasa sina mapenzi naye tena.Nilipata msichana wa mtoto mmoja nataka kumuoa. Kupitia sms Yawezekana unachohisi kwa huyo msichana ni
Roho yaniuma kwa mpenzi kunisaliti
Naitwa Lydia. Nimekuwa katika uhusiano kwa muda wa miaka minne unusu na mwanaume ninayempenda sana.
Nilikuja kugundua anaye mpenzi wa pembeni na nilipomuuliza alikiri kwamba amenikosea.

Tulisame

Nataka uhusiano na msichana wa Nairobi
Mie ni kijana wa umri wa miaka 23. Natafuta mwanamke mkazi yeyote wa Nairobi tuwe marafiki.
Naitwa Mwambeyu. Naishi Horohoro, Tanzania.
Kupitia sms Nakutakia heri na mafanikio katika kumpata ump
Akiwa na pesa hana haja nami
Mimi ni mwanamke wa umri wa miaka 36.
Ninaye mpenzi wa rika langu. Tatizo ni kwamba huyo mpenzi haniridhishi kamwe kimapenzi akiwa na pesa. Wakati hana pesa, anataka kila siku na akiwa nazo ni mara
Baba wa mtoto wangu huhanya nje, nifanyeje
Nina mpenzi ambaye tumekuwa naye kwa miaka mitano na tuna mtoto mmoja.
Lakini shida ni kwamba anahanya nje.
Anaenda klabu za usiku na hashughuliki na mahitaji yangu ya kimwili.
Hivi sasa tume
Msichana anasema ananipenda ilhali sijawahi kumtongoza
Naitwa Mudy kutoka Mombasa.
Kuna msichana anadai ananipenda ilhali mimi sijamtamkia neno kama hilo kamwe. Nashindwa.
Kupitia sms Labda kaona umelaza damu akaamua ashike usukani aendeshe gari. Na
Mume akionja mali nahisi kujikuna sana
Nina shida moja. Nikilala na mume wangu huwa najikuna sana. Nisaidie.
Kupitia sms Hiyo sio kawaida hata kidogo. Mkamwone daktari mtapatiwa suluhu ya kitaalam.
NINA WANAUME WAWILI Nina wanaume wa
Nina miaka 23, natafuta mke
Natafuta mke. Umri wangu ni miaka 23,naitwa Joseph kutoka Voi. Barua pepe yangu ni kituku.joseph@yahoo.com.
Kupitia sms Mimi nakutakia kila la heri. Hata hivyo ujue mie wala safu hii hatutahusik
Sina raha nikikosa kusoma safu hii
Hivi nitapata majibu yangu lini? Hata hivyo, shukrani kwa kujibu maswali ya watu. Huwa unatunza roho za watu wengi na kuwapa mawaidha ya kuishi na waume zao. Kusema ukweli nisiposoma safu yako siwezi
Je, huu ni upendo au ni uongo
Ninaye mpenzi tumeishi kwa miezi miwili.
Kila wakati ananidanganya kuwa mama yake ni mgonjwa ili nimpe pesa.
Kila mwisho wa mwezi ndio ananipigia simu tuonane. Je, huu ni upendo? Kupitia sms Upe