ODM WAKAA
NGUMU
CHAMA cha ODM kiliende-
lea kukaa ngumu jana, huku
kikiendelea kutoa masharti
kwa Rais Mwai Kibaki
kuhusu jinsi ya kuendesha
Serikali ya Muungano.
Mzozo kati ya chama hicho na
PNU ulionekana |
Migingo:
Uganda
ilipewa
ruhusa
KAMISHNA wa Polisi, Meja
Jeneral Hussein Ali ndiye
aliyeidhinisha polisi wa Uganda
kuendelea kupiga kambi ka-
tika kisiwa cha Migingo ziwani
Victoria huku waziri msaidizi
akilaumu uamuzi huo.
|
Ashauri washirika wakuu
MBUNGE wa Kitutu Chache, Bw Richard
Onyonka, anawataka washirika wakuu
katika Serikali ya Muungano, Rais Kibaki na
Waziri Mkuu Raila Odinga, wachukue hatua
ya kuwahakikishia Wakenya amani. Alis |
Mvua kubwa yaharibu mimea
0 MBEGU za thamani ya mamilioni ya pesa ambazo
zilikuwa zimepandwa na wakulima mashambani
ziliharibiwa na mvua kubwa iliyonyesha katika
wilaya ya Gucha. Afisa wa kilimo wilayani, Bw William
Ndi |
Wanapuuza kanuni
za afya hotelini
11L
TAT,'1 WAKAZI wa
mji wa Kitale
wanaonekana
wamepuuza wito wa
Serikali wa kuzingatia
usafi ili kuepuka
ugonjwa hatari
wa kipindupindu.
Uchunguzi uliofanywa
ulionyesha kuwa
wakazi hao |
Waganda walipewa idhini
bendera ya Uganda kisiwani Migingo
hakumaanishi kwamba Uganda ndiyo
mmiliki wake halisi.
"Kudumisha sheria na utangamano
hakumaanishi kwamba kisiwa hicho
kinamilikiwa na mtu yeyote," akasema
Dkt |
ODM yatoa masharti
wa ODM kwenye mkutano ulio-
fanywa katika jumba la Harambee,
Nairobi, walimtaka Rais Mwai
Kibaki awe akimshauri kwanza
Waziri Mkuu, Raila Odinga,
kabla ya kufanya uteuzi wowote,
kwa sababu mkata |
Wanafunzi kulishwa
shuleni ili wasitoroke
MKUU wa Wilaya
ya Meru Kusini,
Bw Ben Gachicio
ametangaza mpango
wa kulisha wanafunzi
shuleni katika tarafa
ya Igamba Ng'ombe.
Wakazi wa tarafa hiyo
wamekabiliwa na hali
mbaya ya kianga |
Wilaya nyingi
huenda
zikazua shida
nyingi- Kigen
UBUNIFU wa wilaya
nyingi nchini huenda
ukasababisha hali
ya kutoelewana
miongoni mwa wa-
nanchi na mapen-
deleo katika utoaji
rasilmali na uajiri.
Hayo yalielezwa na
Mbunge wa Ron-
gai, Bw L |
Barabara kuwekwa
lami mwaka huu
TC SERIKALI itaweka lami barabara
ya Chuka, naibu waziri wa kilimo,
Bw Japheth Kareke alitangaza
jana. Alisema pesa za kugharamia
mradi huo zitatengwa wakati wa
bajeti ya mwaka huu ambayo
i |
Wazozania makao
1 WILAYA mpya ya Kitui Magharibi
huenda isitengewe pesa za
kugharamia huduma zake baada
ya viongozi wa sehemu hiyo kuanza
kuzozana juu ya ni wapi makao yake
makuu yatajengwa. DC Bw Joshua
Che |
Njaa: Serikali
kuwasaidia
waathiriwa
ZAIDI ya familia 1,000 katika
tarafa ya Kambirwa, wilayani
Murang'a Kusini, zinaendelea
kukabiliwa na janga la njaa.
Mkuu wa wilaya hiyo Bw
George Natembea, alisema
kuwa kutokana na hali hiyo |
Wanafunzi
2 wafariki
kwa moto
WANAFUNZI wawili
walikufa na mwengine
kupata majeraha mabaya
baada ya nyumba yao
kushika moto kwa njia
isiyoeleweka.
Kisa hicho kilitokea
Jumatano usiku katika
kijiji kilichoko ufuo wa
Kol |
Msamaria mwema awafaa
wakimbizi wa Nakuru
WAATHIRIWA wa vita vya baada ya uchaguzi waliokuwa wamepiga
kambi karibu na afisi za Mkuu wa Wilaya ya Nakuru, walipata afueni
baada ya Masamaria Mwema kuwanunulia shamba.
Mfanyabiashara wa Naku |
Mshukiwa
abambwa
POLISI mjini Maralal,
wamemtia mbaroni
mshukiwa wa dawa za
kulevya aliyekuwa na
bangi ya thamani ya
Sh 72,000.
Naibu wa mkuu
wa polisi wilayani
Samburu Bw Osborne
Mwawaza, alisema
jana kuw |
Mimba: Wagema walaumiwa
WAGEMA wa pombe ya mnazi wame-
laumiwa kwa kuwatunga mimba
wasichana wa shule za msingi eneo la
Kisiki cha Mzungu wilayani Malindi.
Mkuu wa tarafa za Malindi na Lango
Baya Bi Josphine Njenga na |
Mwanamke
ajeruhiwa
kwa kisu
MWANAMKE wa umri wa
miaka 25 mjini Malindi,
jana alinusurika kifo baada
ya kudungwa kisu mara
kadha na mumewe, kwa
madai ya kushiriki ngono
ya pembeni.
Mhasiriwa alikimbizwa
hospitali kuu ya w |
Tumieni maji
ya mvua-DC
MKUU wa Wilaya ya
Tana River, Bw Musiam-
bo Wanyama, ame-
washauri wakulima wa
sehemu hiyo watumie
maji ambayo inapatika-
na wakati huu baada ya
mvua kunyesha kuny-
unyizia mashamba yao.
Alis |
Aongoza duniani kwa
kuvunja rekodi 100
Mfanyabiashara amefanikiwa
kuvunja rekodi ya rekodi zote kwa kuwa
mtu wa kwanza kushikilia rekodi 100 za dunia za
Guinness World Records. Guiness World Records
ilithibitisha Jumatano jioni kwamb |
Mrembeshaji bandia ndani
Mwanamume Mhispania ambaye
alitumia vifaa vya matibabu ya wanyama
kuendesha upasuaji wa urembo amekamatwa.
Polisi wamesema wamemkata mwanamume huyo
mwenye umri wa miaka 63 kwa kuendesha huduma
|
Tabia mbaya
yamtia motoni
- Mwa-
namume mwenye
umri wa miaka
28-amehukumiwa
jela wiki tatu kwa
kumkojolea nyanya
mwenye umri wa
miaka 66 walipokuwa
kwa ndege mwezi uli-
opita ambayo ilikuwa
inaelekea Honolulu
kutok |
Chatu wanne
wavuruga
safari angani
1 - Kampuni
ya Qantas Airways
ilisimamisha huduma
na ndege yake ya Boe-
ing 737 baada ya chatu
wanne kutoka kwa kizuizi
chao katika sehemu ya
mizigo ndege ikitoka
Alice Springs hadi Mel-
b |
Sheria mpya za uhamaji
zatatiza unyoaji kondoo
M Kondoo nchini
Uingereza watakuwa na
wakati mgumu wakati
huu wa jua kali kwa sababu ya
upungufu wa watu wa kuwanyoa
manyoya. Kawaida wanyama hao
hunyolewa na raia wa Australia
na Newzealand |
Mapishi duni yawaletea balaa
Maafisa wamesema kwamba wafanyakazi
wawili wa Domino wa kutengeza Pizza wanakabiliwa na mash-
taka ya kusambaza chakula ambacho hakifai kuliwa.
Wafanyakazi hao walionekana kwa video iliyowekwa kw |
Maonyesho
poa ya maua
KWA wengine, maua
ni anasa hasa msimu
wa ukame. Mfanyakazi
anyunyizia maua maji
katika bustani ya al-Za-
wra, katika maonyesho ya
maua yaliyofanyika juma
hili mjini Baghdad. Nchi
za kigeni |
Ranneberger amkeketa maini mbunge
MBUNGE wa Molo, Bw Joseph Kiu-
na, jana alimtaka balozi wa Amerika
aheshimu viongozi waliochaguliwa
na wananchi.
Bw Kiuna alimlaumu Bw Michael
Ranneberger kwa kuzuru eneo
bunge lake bila kumj |
Kamati
kukagua
nyumba
BARAZA la Manispaa ya
Mombasa litabuni kamati
ya wataalamu itakayokagua
nyumba na kuzitambua
zilizojengwa bila idhini ya
manispaa hiyo.
Katibu wa baraza hilo Bw
Tubman Otieno, alisema jana
kuw |
SHTAKANI
|
Yaya akana
kuua mtoto
wa mwajiri
YAYA mwenye umri wa mia-
ka 17, jana alikanusha shtaka
la kumuua mtoto wa mwajiri
wake aliyekuwa na umri wa
miezi mitatu.
Bi Miriam Atsieno alimwambia
Jaji Nelson Osiemo kuwa kamwe
hakumuua |
Babu afungwa kwa ulaghai
MZEE mwenye umri wa
miaka 65, jana alifungwa
miaka mitatu kwa
kumlaghai mfanyibiashara
Sh1 milioni akidai
angemuuzia ploti katika
mtaa wa Eastleigh,
Nairobi.
David Muriithi Ngari
alisukumw |
Mjane atakaa jela miezi sita
MWANAMKE mjane
aliyepatikana akiuza pombe
ya kienyeji bila ya leseni, jana
alifungwa jela miezi sita na
mahakama ya Voi.
Bi Alice Mumbi, mwenye
watoto wanne, alitiwa
mbaroni na polisi katika |
Miaka kumi
kwa unajisi
MWANAUME aliyejaribu
kumnajisi msichana wa miaka
15, jana alifunzwa adabu
na mahakama ya Siakago
alipofungwa miaka kumi
gerezani.
Mamake msichana ambaye
alikuwa shahidi, alieleza
jinsi Cyp |
NCCK: Wakenya
wawatizama
kwa jicho pevu
B
ARAZA
a
Kanisa
nchini
(NCCK),
lilitoa taarifa
kupitia kwa
katibu wake
mkuu, Ka-
sisi Peter Kara
nja, likitaka uchaguzi mpya
mkuu ufanywe kwa madai
kuwa viongozi walioko sasa
wam |
Sensa ifanywe
kwa utaalamu
S
ERIKALI inapanga kutumia Sh7.36 milioni
kugharamia shughuli ya kuhesabu watu
takayofanyika mwaka huu yaani sensa.
Katika miaka ya nyuma, takwimu za
sensa hazijawahi kutumika kikamilifu kat |
Agizo la Kinyua ni
la ajabu
K
ENYA ni nchi ya ajabu! Mbinu za ajabu hu-
tumiwa kushughulikia maswala muhimu
ya kitaifa, aliyejaaliwa akili akajiuliza
wakuu wa Serikali yetu ni waigizaji sin-
ema za kuchekesha ama viong |
Pesa za wafanya kazi zisiachwe kupotea
M
AAJABU ya taifa letu ni
mengi na katu hayai-
shi. Licha ya matatizo
mengi tuliyonayo ya
kisiasa, njaa, uhalifu usioisha na
umaskini, kuna uporaji wa akiba za
wafanyikazi ambao umefichuli |
Mmehitimu, ndio
lakini hatuajiri
walemavu!
N
I
I wachache wanaozaliwa na dosari za
kimaumbile hukubali hali yao na ku-
kabiliana na changamoto za kimaisha.
Wengi huguna na kulalamika huku
wakijuta ni kwanini walizaliwa. Lakini kw |
NANI GWIJI? - Biashara imemteka, akalegea kimuziki!
I 55 *I 1 | 5 lalia
aleq( i nyota wa LJnachukuli |
Kimuziki anishinda, 'kichapaa' niko sawa na anafahamu hilo!
Fa i
ea k
suziki wa
aje vipi ufi- 10
I
I |
kachero wetu
|
Historia
ya Hazina
HAZINA ya Kitaifa ya Malipo
ya Uzeeni, (NSSF) ilibuniwa
mwaka 1965 kupitia kifungu
258 cha sheria. Ilinuiwa
kuwekea wafanyakazi wote
akiba.
Mwanzoni, ilifanya kazi
kama idara ya Serikali chin |
NYOTA WETU LEO
|
SHINDA
NA
TAIFA
Nakala hii itakuwezesha kushiriki katika
shindano la Ng'amua ushinde na
Taifa Leo. Kuna shilingi elfu mbili kila
siku za kushindaniwa. Kata kiu kila
asubuhi kwa nafasi ya kushinda.
|
SCAM MAY
LOCK OUT
WEAK KCSE
CANDIDATES
THOUSANDS of Form Four stu-
dents may not sit for this year's
KCSE examination because
the Government has stopped
some schools from registering
candidates.
A circular from the Ministry of
Ed |
Nairobi Nights
, Isaac
Reggae gospel musician
rnoon
Blackman, on Sunday afte
ple-
entertained fans at the KICC
Owen
nary |
BAD ECONOMY MAY FOLD
BRITNEY'S CIRCUS TOUR
BRITNEY Spear's father has been
seeking permission from a judge
to expand the pop star's cur-
rent Circus tour - but the poor
economy may hamper those
plans, it was revealed in a Los
Angeles cou |
Winehouse pens
betrayal track
Singer Amy Winehouse has
reportedly penned a new track
called The Ultimate Betrayal follow-
ing claims her estranged husband is
expecting a child with another woman.
Mother-of-two Gilleen Morr |
Justin Timberlake to
climb Kilimanjaro
Pop star
Justin Tim-
berlake will
climb Mount
Kilimanjaro
in Tanza-
nia, along
with rapper
Lupe Fiasco
and singer
Kenna, in an effort to bring
awareness to the global water
crisis. "I'v |
Psst... -
NICOLLETTE SHERIDAN IS LEAVING
WISTERIA LANE
Nicollete Sheridan's character, Edie Britt,
is about to meet her demise on Desper-
ate Housewives, but the blonde star isn't
losing any sleep over it. "I said, 'OK, sayo-
nara. It's been a great r |
Psst... -
READY TO SAVE THE EARTH: DICAPRIO
GOES THE GREEN WAY
Actor and environmental activist, Leonard
DiCapri, 34, is auctioning off the opportu-
nity to attend the premiere of his up coming
drama Shutter Island - complete with eco-car
service to and from |
MIDWIFE BRAVES
RAID, SAVES BABY
A VILLAGE is rejoicing over the heroics
of a midwife who braved attacks from
raiders to help a young woman deliver
a baby during the Easter holidays.
Rosemary Nafula Wekesa helped Irene Nekesa
|
In memory
of the
Nakumatt
fire victims
|
Free peace concert
held at Makongeni
On Easter Monday, artistes from dif-
ferent recording stables in Nairobi
performed at a free concert held at
the Makongeni grounds, Nairobi. The
arttistes - Wiwy, Sinpare, Wenyeji,
Wakamba Wawili |
CHRIS BROWN DENIES
ROMANCING NATALIE
Chris Brown is deny-
ing reports that he's
getting romantic with
singer Natalie Mejia.
The R&B singer, 19, was
photographed with Mejia,
20, and another man on Sat-
urday at a Hollywood tatto |
Boomba and Genge
showdown in Coast
The place to be last Saturday
was Club Lambada, Mtwapa
as Nameless and Jua Cali
entertained their fans with
a good mix of Boomba and
Genge.
The scenes:
|
Psst...
KANYE WEST'S ARRAIGNMENT ON
MISDEMEANOUR CHARGES DELAYED
Kanye West's arraignment
on misdemeanour
charges has been
delayed until May.
Lawyers for the
rapper and his
road manager
were granted a
delay to enter
pleas until May
20 during a brief
h |
Psst...
TROUBLED LINDSAY LOHAN GETS
MARILYN MONROE QUOTE TATTOO
Lindsay Lohan recently got a new
tattoo as part of her post-break
up makeover. According to a
source who has seen the new
ink, Lohan, 22, got a Marilyn
Monroe quote tattooed on her
inner-wrist d |
BROWN HAUNTED BY
TROUBLED PAST
BY THE look of things,
Chris Brown's past is
haunting him, and it
doesn't seem like this
whole Chrihanna debacle
will end any time soon.
In an interview conducted
in 2007 and now released in |
Britney says no to
marijuana
Britney Spears stormed off stage
over fans smoking marijuana - de-
spite her own history of drug abuse
The singer, 27 disappeared three
songs into her set and did not return
for 40 minutes. Ba |
Ohangla star to
tour Germany
and Switzerland
Popular
Ohangla
musician,
Osogo
Winyo aka
John Okinyi,
is due to
fly out
tomorrow,
for a one
month
tour of
Germany
and Swit-
zerland.
Speaking to Metro Vibe
from Mombasa, |
Psst...
DOCTOR FOR KANYE WEST'S MOM
SURRENDERS MEDICAL LICENSE
Dr. Jan Adams, who per-
formed surgery on Kanye
West's mother a day before
her November 2007 death,
has given up his medical
license, according to the
Medical Board of California.
"A series of |
PIRATES' FURY OVER
RESCUE OPERATION
THE world's attention was
on Mombasa when news
began to trickle in that
an American sea captain
held by Somali pirates
had been rescued by the
US Navy.
The Kilindi Habour, where
the ship Ma |
Psst...
LAWYERS PLAY TABLOID GAMES TO
PUT PRESSURE ON QUEEN LATIFAH
Lawyers for Queen Latifah's former glam
squad are threatening to expose her 'life-
style' if the Queen does not pay the duo
the $ 1 Million (Sh 80 M) dollars she owes
them. Lawyers for the suing d |
KENYAN INVENTION
MAY SAVE FORESTS
A KENYAN company has won international
acclaim after its invention - a cheap solar
cooker - won first prize in a global contest
for environmentally friendly innovations.
The Kyoto Box, invented |
We owe team's
success to our
supporters, say
rugby heroes
KENYA'S growing respect on the international
sevens circuit has been borne out of great team
effort - effort that is readily acknowledged by
players.
The players believe it's not just their har |
Morgan Heritage Live At
The Carnivore, Nairobi
Morgan Heritage, the regg
ae-
singing siblings, performed
at the Carnivore on Friday
night. As usual, they
brought the house
down with their
electrifyi |
Was 'The Agency'
crew conned?
The Agency crew members
now claim that the Sterling
Quality Company, which was
in charge of production, never
paid them their dues, despite
the fact that MNET gave them
money for that purpose.
|
REGGAE FANS TELL
OFF KENZO
ON FRIDAY, the 'Mama
Milka' hit maker Kenzo
was booed off stage by
reggae fans who had
trooped to the Carni-
vore grounds, Nairobi,
for the Morgan Herit-
age concert.
The Rastafarians had n |
Psst... -
JENNIFER HUDSON TO WED IN A
'MOST UNTRADITIONAL' DRESS
The singer-and-actress
will wed her partner, David
Otunga, soon- al-
though she will not
reveal an exact
date - and wants
her three Po-
meranian dogs -
Dreamgirl, Oscar,
and Grammy - to
p |
Psst... -
OPRAH DEFENDS THE RECORD OF
HER SOUTH AFRICAN SCHOOL
Oprah Winfrey acknowledged in a newspaper interview
published Saturday that she has made several mistakes at
her elite South African school, but said she
remains proud of its success. The recent |
GOVT EMBARKS ON
SCHOOL REFORMS
STUDENTS will soon be
allowed to set school
rules and elect prefects,
if recommendations
by the Government
and other agencies are
adapted.
A report by the Ministry
of Education and the |
To the rescue
|
Grandpa screams for 'missing car'
AN ELDERLY man attacked
a parking attendant when
he missed his vehicle where
he had left it.
Although the city council
parking attendant work-
ing along Kimathi Street in
the city centre sai |
Amber Rose
turned o? by Kanye
Kanye's latest girlfriend, Amber Rose,
was overheard telling friends that
this whole publicity stunt relationship
would only last a little while longer. She
complained about how turned o? she
was |
Psst...
CHRIHANNA DRAMA: HE WAS
STRESSED AND SHE'S POSSESSIVE
Rihanna is on the cover
of the May issue of Vibe
magazine. And, in what the
magazine is calling
an "investigative
report", they
talk to sources
close to Chris
and Rihanna.
A former
bodygu |
PLANS UNDERWAY FOR HIV
TEST AT YOUR DOORSTEP
KENYANS will soon know
their HIV status from
the comfort and privacy
of their living rooms. In
what is seen as a depar-
ture from previous ap-
proaches - testing for
the HIV virus will soon
be |
Ole Sena's
lucky day
Up-coming
comedian,
Jonathan ol
Sena, seems
to be court-
ing luck. He
has not only
recently
joined KBC's
comedy
show, Vioja
Mahakama-
ni, but also
seems to
have fans in high and might |
WE FORGAVE MUSIC
PROMOTER: NYOTA
AFTER the Saturday
night altercation be-
tween coast musicians
and music promoter
Graham Katana, the
musicians now say they
have forgiven Katana
for the mishap.
Led by Nyota Ndogo, the
musi |
Psst... LILO SHATTERED OVER BREAK-UP
WITH LESBIAN LOVER
Mean Girls star Lindsay Lohan and her les-
bian lover Samantha Ronson have broken up
- and Lindsay is not taking it well. LiLo spoke
out about her split from girlfriend Sam,
calling the break-u |
ANOTHER
SCHEME
TO BUILD
CAREERS
YOUNG Kenyans have be-
come the latest target of
credit offers and job crea-
tion schemes being intro-
duced by the Government
and local banks.
In the clearest indicator that the
Government |
A LIFETIME OPPORTUNITY
Lt Cannon Phillip K Serem (left) examines the academic papers of one of
the youths who turned up at the Maitha Stadium in Kilifi yesterday morning
for the ongoing armed forces recruitment drive. Phi |
Ransom
This incident is said to
have happened in 1993,
when Whitney was at the
top of her game. Whit-
ney allegedly paid out
$400,000 (Sh32 million)
in ransom money to get
Bob back. Collins said
Whit |
Beyonce's little sister
dropped from label
Beyonce Knowles' little sister, Solange, was
dropped from her record label, Geffen
Records, because she was not 'saleable'.
Geffen did a one-off deal with Music
World Entertainment for Solange an |
Queen Latifah
to act Just Wright
Queen Latifah aka Dana Owens, is set
to star in Just Wright, a romantic com-
edy. The project is a modern day take
on the Cinderella story, featuring Lati-
fah as a physical therapist, who falls i |
Whitney paid
ransom for
ex-husband
Bobby Brown
Whitney Houston's ex-
husband, Bobby Brown,
was once a kidnap victim,
and Whitney paid the
ransom. According to
new information from an
autobiography written by
David Collins, who was
a former |
THREE LUCKY DUBE
KILLERS TO SPEND
LIFE IN PRISON
THREE MEN accused
of killing South African
reggae superstar, Lucky
Dube, were jailed for life
on Tuesday.
In an act which sent shock
waves through music-lovers
across Africa, Dube was shot
|
Psst... -
ACTRESS DREW BARRYMORE
TIRED OF DOING LOVE STORIES
She has made her mark as
a charming love interest
on screen, but if Drew
Barrymore has her way,
she'll be tackling
more serious
roles from now
on.
"I'm in my
thirties now,
and I really
w |
Psst... -
RIHANNA'S FATHER NOW SAYS
CHRIS BROWN IS IN DENIAL
Rihanna's dad, Ronald Fenty, says he is confused by
Chris Brown's Not Guilty plea. Ronald told Us Weekly
that Chris is in denial and he needs to explain how
Rihanna got beat down if he's "not guilt |
a i r obi
N es
Scen
YOUR SAY
t on
To commen nd
se
this story
your
VIBE then 02
0
TEXT to 4 ged
ar
All SMS ch ove
@5/- |